Kilwa94
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,676
- 3,046
Watu wanaongea humu utasema wamepiga depo la CCP na kiwira.ninoma mkuu wangu,sema watu wanaibuka na hoja za vijiweni
Niwaulize tu lini mliwahi kuona askari magereza yupo operation yoyote mfano ile ya Kibiti au Mtwara?[emoji1]
Ndio mjue sasa PT ni baba lao hata huko CCP mziki wao si wa kitoto. Operation zote za ndani ya nchi hadi nje wanaenda Jw na PT.