Watu wanaongea humu utasema wamepiga depo la CCP na kiwira.ninoma mkuu wangu,sema watu wanaibuka na hoja za vijiweni
Mahovyo hovyo yapo mzee mwishoni ndio wanalegeza ile miezi ya mwanzoni ni mwendo wa mabio point A-B huku unaimba "Mimi kuruta" kuamka sasa ni saa 6 kasoro za usiku miezi yote 9 mnaenda mabio na siku za wikendi mnakimbia mabio marefu(induarance) kuna miezi kadhaa ya kutembea kikamavu yani hatua kumi za kutembea unatakiwa uzitembee kwa sekunde 3 noma hiyo mjomba wenyewe wanaiita 'three-twenty' kama sijakosea. Na ukileta mapuuza ya kuacha kufanya hayo maovyo hovyo unaweza pepea.KKutoka kwa wadau wanasema Polisi hakuna maovyoovyo mengi sana kama Jwtz...yani ule usumbufu wa sijui mnaenda kula kwa uchura..au kuroll kule hakuna. Ugumu wa CCP ni sheria asee pale chuoni mjini na kuamka saa 6 usiku.Maovyoovyo kwa PT ni porini. Ila JW maovyoovyo mengi na hawakai pori muda mrefu. Halafu PT hawana mambo ya kuchimba mahandaki kama JW
.Kitu kinachoitwa kozi kisikie tu kwa mwenzio,hakuna kozi ya kijeshi rahisi.
Humu ndani Wapo pia waliopiga CCP ..ndio maana tunaziita zote hizo zote hizo ni lonjaMahovyo hovyo yapo mzee mwishoni ndio wanalegeza ile miezi ya mwanzoni ni mwendo wa mabio point A-B huku unaimba "Mimi kuruta" kuamka sasa ni saa 6 kasoro za usiku miezi yote 9 mnaenda mabio na siku za wikendi mnakimbia mabio marefu(induarance) kuna miezi kadhaa ya kutembea kikamavu yani hatua kumi za kutembea unatakiwa uzitembee kwa sekunde 3 noma hiyo mjomba wenyewe wanaiita 'three-twenty' kama sijakosea. Na ukileta mapuuza ya kuacha kufanya hayo maovyo hovyo unaweza pepea.
Nimeambiwa na pot aliyetoka juzi kati huko CCP.
Watu tupeane Mibuyu siku zinasogea kwa kasi sana.
Kwa niaba ya Tanzania Special Forces anawasalimia..ivi kila jeshi naamin kuna vikosi maalum mfano kwa PT kuna FFU MT wana Kmkgm ila kwa UT vp apo..
Mahovyo hovyo yapo mzee mwishoni ndio wanalegeza ile miezi ya mwanzoni ni mwendo wa mabio point A-B huku unaimba "Mimi kuruta" kuamka sasa ni saa 6 kasoro za usiku miezi yote 9 mnaenda mabio na siku za wikendi mnakimbia mabio marefu(induarance) kuna miezi kadhaa ya kutembea kikamavu yani hatua kumi za kutembea unatakiwa uzitembee kwa sekunde 3 noma hiyo mjomba wenyewe wanaiita 'three-twenty' kama sijakosea. Na ukileta mapuuza ya kuacha kufanya hayo maovyo hovyo unaweza pepea.
Nimeambiwa na pot aliyetoka juzi kati huko CCP
Hahaha kijana wa Mwangosi..kama ulikuw huko basi tulikuw wote boss.We jamaa kama depo ya juzi basi uwenda nakufahamu
Kwani vazi la uhamiaji ni wapi limeruhusiwa kuzurura nalo ?UT ukienda huko hutokuwa tofauti na raia;jamaa katika vituo vya wilayani daily wanavaa kiraia halafu wikend hawaendi kazini eti wanajiita jeshi.[emoji23]
Ukipata PT ujiko mzee mi ningekua huko ningependa wanipange kitengo cha V.I.P protection wale maafande wa FFU wanavyobebaga silaha na ile mikimbio yao msafara ukianza,mi huwa wanikosha sana.
Aidha, juu nmeona jamaa anasema PT ni njaa kuliko UT,ukweli ni kwamba PT wapo vizuri maana wana hela halali za nje na mshahara(escort,malindo..) uhamiaji hamna kitu labda wale rushwa ambapo hata PT akiamua kula rushwa bado atakuwa yupo juu.Vazi la polisi lina thamani sana na ndio maana PGO imekataza kudhurura na unifomu kama haupo kazini maana unaweza litumia vibaya kujipatia kipato.
Mwaka huu tangazo lilitoka January 1 deadline ikawa January 14. Majina ya interview wakatoa January 28. Majina ya waliopta kazi wakatoa February 22 .Iliyopita ilikuwa mwaka jana mwishoni kwenye mwezi wa 11
Kwa niaba ya Tanzania Special Forces anawasalimia..View attachment 2461810
Porini ni miez miwili tu..?Mimi sijawahi kupenda mahovyohovyo yasiyo na msingi kama hayo ya kupelekana kula kwa mwendo mbaya ndio maana kwangu mm naona course ya polisi ni kozi ya kawaida endapo tu utatimiza wajibu wako na kufuata sheria.Hayo mambo ya kuimba mimi kuruta ni unajitoa akili tu tena unaimba kwa Sauti na morali hamna atakayekugusa...mabio unatimia unaenda..vipindi class unaenda. Wenzangu na mimi wa tengo ukilipata unalipalilia vizur hadi Waone umuhimu wako....unaenjoy maisha huku unasubiri miezi yako miwili ya msoto porini kusipokuw na tengo
Wajuvi ndiyo wanajua,nadhani ni moja ya chief dom ndani ya kamisheni ya operesheni na mafunzo.Hawa wapo chini ya kiitengo gan?
Chakula cha jioni ni saa 12 jioni. Ukimaliza kula hapo ni utawala wako binafsi utajua mwenyewe kama utalala au utakuw unafanya nn. Ila saa 6 usiku kuamka siku inaanza. Porini kulala ni saa 4 usiku kuamka saa 11 asubuhi.Porini ni miez miwili tu..?
Kila siku kuamka saa 6 kulala ni saa ngap sasa
Ndio porini ni miezi miwili. Kama mko wengi mnaenda in two groups. First group linaenda linapiga miwili.. then second group litaenda nalo litapiga miwli. Magroup yote yakishamaliza pori ndio maandalizi ya kupass out yanaanzaPorini ni miez miwili tu..?
Kila siku kuamka saa 6 kulala ni saa ngap sasa
Huu muda wa kulala upo vizuri sana.Chakula cha jioni ni saa 12 jioni. Ukimaliza kula hapo ni utawala wako binafsi utajua mwenyewe kama utalala au utakuw unafanya nn. Ila saa 6 usiku kuamka siku inaanza. Porini kulala ni saa 4 usiku kuamka saa 11 asubuhi.
Vitengo rasmi ni huwa baada ya wote kumaliza pori. Ule mwezi mmoja wa maandilizi ya kupass out ndio kuna kuwa na vitengo official. Kabla ya hapo watu huwa wanajiongeza wenyewe tu kupunguza makali ya course. Kwa mfano pale kuna Hospital inahudumia Raia wengi tu so madaktari na wataalamu wa huwa wanasaidia kutoa tiba inakuw kama tengo Lao 😂. Pia watu wa mifugo wanasaidia huko ilipo...mafundi/ maengineers n.kHuu muda wa kulala upo vizuri sana.
Kiukweli kwenye kozi mchawi usingizi aisee..
Yaani ni bora unipige doso la kutosha ila unipe muda mwingi wa kulala.
Mkuu Dystonia7, Vitengo huanza kugaiwa mwezi wa ngapi tangu mripoti kambini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu na sisi watu wa Finance hamna vitengo [emoji28][emoji28]?..Vitengo rasmi ni huwa baada ya wote kumaliza pori. Ule mwezi mmoja wa maandilizi ya kupass out ndio kuna kuwa na vitengo official. Kabla ya hapo watu huwa wanajiongeza wenyewe tu kupunguza makali ya course. Kwa mfano pale kuna Hospital inahudumia Raia wengi tu so madaktari na wataalamu wa huwa wanasaidia kutoa tiba inakuw kama tengo Lao [emoji23]. Pia watu wa mifugo wanasaidia huko ilipo...mafundi/ maengineers n.k