Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Duuuh mambo haya mzee ni hatwari kabisa...kwa ambao hawakuambatanisha LEAVING CERTIFICATES je inakuaje [emoji849][emoji849][emoji849]
Ukiitwa basi kweli una zali..waombaji ni wengi mistake moja tu unatupwa nje..
 
Kwenye kuthibitishwa vyeti hapo imekaaje hyo mn m najua vyeti lbd km vimetofautiana ndo unaweza kwenda kuapa mahakamani
 
Kwenye kuthibitishwa vyeti hapo imekaaje hyo mn m najua vyeti lbd km vimetofautiana ndo unaweza kwenda kuapa mahakamani
Mkuu hujawahi kuona nakala ya cheti labda cha elimu kimepigwa muhuri wa mwanasheria au wa mahakama kuthibitisha kuwa ni nakala halisi ya cheti halali?
 
Mkuu hujawahi kuona nakala ya cheti labda cha elimu kimepigwa muhuri wa mwanasheria au wa mahakama kuthibitisha kuwa ni nakala halisi ya cheti halali?

Kwamba ilitakiwa aambatanishe kabisa nakala ya chet chenye muhuri wa mahakama wakati anafanya maombi ya zile kazi [emoji1593]
 
Me barua nimeandika kwa mkono na passport zangu tatu nimeziambatanisha vyeti vyangu vya shule form six na four na cheti cha jkt pamoja na leaving ya form four pekee pia na form ya hospital nimeambatanisha hadi kitambulisho cha Nida..uzuri pale tanga siku ya kwanza kwenda unajijua Kabisa mana wanachuja Kabisa vyeti kabla hujaitwa usaili wowote hii ingekuwa mikoa yote ingekuwa Safi Sana mkuu.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Tusubiri neema ya Mungu.. maana kila mtu anaropoka lake tuu
 
Yani polisi mna mambo ya ajabu sana ndugu zetu nyiny sasa cheti cha kuthibitisha afya kutoka kwa Daktari cha nini???kwani uyo muombaji akija uko amumpimi afya yake ???mpaka mpate cheti kutoka kwa daktari kuthibitisha afya yake je kama mtu akidanganya jee???nu mambo ya hovyo sana.

Mbona sisi atuko hivyo nakumbuka tulienda kufanyisha usaili kambi ya JKT Mgambo kipindi sisi tulikuwa tunataka tuu kuangalia vyeti kama majina yamefananu na kile kiwango chetu cha ufaulu tunachokitaka kama upo clear tunakupima ukimwi,sukari,presha na macho kama vipimo vyote uko vizuri ndo ushapata ajira no longo longo...

By the way ndo mana mna dharaulika na kuambiwa hata iyo Police General Order amuifahamu mnashangaza mno kwann mnakuwa hivi nyinyi ndugu zetu sisi wote tuna save ssme flag why mnamambo ya ajabu ajabu mpaka kuweni specific bhana....
 

Hamna namna Mkuu...ngoja tuwe wapole ili mambo yaende
 
Unadhani huu usaili ungewahitaji vijana walioko makambini JKT tu mpaka sasa vingehitajika vielelezo vyote hivyo?

PT wanachukua uraiani na JKT sasa unapochukua uraiani ni lazima ujiridhishe mtu unayemchukua ni sahihi.
 
umeshapita mzee jiandae tu kuwa ofisa wa polisi, maana kuanzia elimu ya form 6 huwa mwsho wa sku wanapewa vyeo vkubwa. Jiandae kula mema ya nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…