Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

[emoji23][emoji23][emoji23]daaah nshapagawa mkuu ila kula kazi siku nzima alafu hulali akili ni kama inarestart hivi unakuwa kama zombie.
Mwanangu sio poa kaka tulikeshaga mtabila pale mpaka kunakucha mwendo wa mahovyo hovyo tu alafu alfajiri tukaamsha mabio, kmmk tulikuwa kama mazombie, kwanza tulikuwa tunakimbia huku tunayumba, aah yaani unamuona mwenzako anakimbia huku anapepesuka na kuyumba mpaka anaanguka kwasababu ya usingizi daah
 
Dadeki kambi za kigoma sio. Nilipita Kanembwa enzi zetu. Tulikuw tunakula scale za hatari sana..hamna cha mujibu wala kujitolea
 
Kambi ya kazi hii kaka. Six week mnakesha kama utani hivi. Afu ukiuliza kwingine huko wanakuambia wanalala saa 6 dah ilikuw inaniuma sana.
Dadeki kambi za kigoma sio. Nilipita Kanembwa enzi zetu. Tulikuw tunakula scale za hatari sana..hamna cha mujibu wala kujitolea
 
Mkuu kwa nini unapenda ffu ?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Me nimeanza kuwapenda kipind nasoma shule,shule niliyosoma ipo karibu na kambi ya FFU jinsi walivyo Smart zile uniform zao na kofia zao nyekundu na ni watu wa utayari muda wowote, kingine na vile me nimtu wa kupenda mazoez ya ukakamavu wa mwili,me huwa nikiwaona wamevaa full zile uniform nawashangaa sana jinsi wanavyopendeza na walivyosmart, kingine napenda shuruba Sana mimi mambo ya kukalia viti virefu siyakubali Sana kwangu Mimi.pia ni watu ambao huwaoni hovyo hovyo kwenye matukio yasiyo na mantiki Sana
 
Nina mwanangu mmoja tunapigwa jua hafu huyu kaganda ni dada ake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…