NAJYUZ
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 1,981
- 3,475
Amesema hizo week mbili za mkesha.Jwtz 6week za mwanzo hamna kazi yako kunyoosha shuka tu yaan jua linakuchomozea ukiwa unakula kazi(HAKUNA KULALA),Je PT vipi muda gani kitanda kitakuwa hakina maana kwako?
Sent using Jamii Forums mobile app