Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Poti umemaliza...kilichobaki wapite usaili tu. Ila pia wasijifanye mapenzi wanayajua sana na kuanza kuhudumia madawiri kama ndio wapenzi wao wakat siku ya mwisho wewe unapangwa mtwara yeye anaenda kigoma...mbususu inaenda kusuguliwa huko na usikute umehudumia tu bila kugonga πŸ˜‚
 
no
Noted mkuu
 
Mm naomba kuuliza usipopata tengo utakua unafanya shughuli ngumu sana ama?..
mwanadamu anapenda kujitengenezea mazingira rahisi mahali popote aise ..hata usipopata tengo hamna shida
Mimi kazi ambayo naikwepa ni shamba tu
Hakuna shamba CCP...usipokuwa na tengo basi kazi zingine na vipindi vingine utahudhuria. Kipindi kinachoumiza au watu wanakichoka ni kwata asee...jua kali afu mnapigia kwenye lami..na kwata polisi wanataka muwe perfect yani so skill ndogo ya kwata mnaweza tumia muda mrefu sana kuisoma. Mtaanza na fungaaaa funguaaaaaa dadek mpaka mtaichoka...hiyo siku mwanzon tulipiga funga fungua mpaka nikaona nataka kuanguka yan sukari ilikuw chini...muda wa chai ulipofika niliapa kuwa sitarudi tena kwenye kwata nikavamia tengo chap πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚..sijawah penda kwata mm.
 
Hahhaha kaka nimecheka sana aise eti funga fungja mpaka ukahisi unazimia...mm hyo kwata ndio naipenda sasa
 
Hahhaha kaka nimecheka sana aise eti funga fungja mpaka ukahisi unazimia...mm hyo kwata ndio naipenda sasa

Kumbe ukiwa tengo hupigi kwata....hapo sitataka kitengo chochote...mm ni tengo la kwata
 
Kaka huwa nikilala naota kwata ...
Jkt ile jioni siku tukipewa utawala huwa napiga kwata mwenywe maporini
Au nikidoji natafuta sehemu nilikua napiga zoezi la kwata
 
Mm naomba kuuliza usipopata tengo utakua unafanya shughuli ngumu sana ama?..
mwanadamu anapenda kujitengenezea mazingira rahisi mahali popote aise ..hata usipopata tengo hamna shida
Mimi kazi ambayo naikwepa ni shamba tu
Kuna kasheshe usipokaba tengo imagine umeamka saa 6 usiku ukaenda mabio kurudi saa 11 alfajiri hapo itabid uoge na upige pasi na kuburu viatu then uingie masta parade[emoji849]hapo ndo shida ilipo ukitolewa mchafu kazi unayo utakula kazi mpk utahisi kufa
Baada ya masta parade vipindi vya darasani na kwata mpka jion saa 10 ndo unatoka
Ukifika hangani utatimia kombania kwajiri ya fatik mpk mda wa chakula cha jioni
Ukishamalza kula hapo utaamuua ulale au ufue na kupiga pasi ni wewe tu
Ila mwenye tengo vipindi vyote vya siku akiamua haendi hadi masta parade
 
Kwata noma hata JKT kwata lilikuwa linaniboa sana ,mi Bora nile doso Tu kuliko kwata na nilikuwa nadoji sana kwata nishakamatwa mara nyingi na nilichezea doso heavy la makamanda wa pale Oljoro 833KJ mpaka nikaota sugu , ila nilikuwa sikomi kudoji nahisi nikiingia Polisi watanifukuza tu ,🀣🀣🀣🀣 ,nikikumbuka JKT huwa nacheka sana ,kuna siku umepigwa msako mkali makamanda na ma MP kambini wanajitafutia mamaster wa kudoji kwata na vipindi combania na kujificha pori ,nakwambia mpaka na MP nao waliunga tela walitusaka porini na mwanangu mhuni mmoja hivi na washkaji wengine kadhaa manunda wa doso na kudoji , mwisho wa siku na MP walitudaka ,doso tulilopigwa ni siri yangu πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜€πŸ˜€πŸ™ˆπŸ™ˆ
 
Fungu Fanta unywe ni Kikosi Maalum uwez jipeleka. Zaid ni wakat mko uwa kuna special team ya ufuatiliaj wao ndio wana assing nani na kwa nini. Fitness yako nidham Utiif n.k
VP na Tabia ..km mtatamtata au unatabia za kibabe nasikia ndo wanawachagua pia watu km hao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…