Sasa form ya afya kutoka kwa daktari ya nn???Unadhani huu usaili ungewahitaji vijana walioko makambini JKT tu mpaka sasa vingehitajika vielelezo vyote hivyo?
PT wanachukua uraiani na JKT sasa unapochukua uraiani ni lazima ujiridhishe mtu unayemchukua ni sahihi.
Mmmmhhh Acha Kutisha watu.Wao walishasema taarifa Rasmi zitatoka Kupitia Mitandao na tovuti yao.Mbona taarifa zao zote zimekuwa hivyo.Acha kuandaa kutapeli watu
MrBanks na Twyn naona wana Jambo lao humu ndanii.Wanataka Kuanza kuharibu thread Kwa kutaka kuwatapeli watu[emoji38]humu vijana msipokuwa makini mtaingizwa cha kike na matapeli.
Kuna mtu kasema ana shahada na kaitwa usaili jtatu Kurasini.
MrBanks na Twyn naona wana Jambo lao humu ndanii.Wanataka Kuanza kuharibu thread Kwa kutaka kuwatapeli watu
Kwani coplo sio cheo mbona mimi Sargent wa JWTZ nina V 3 nimeingia jeshini mwaka 2000 nikiwa na miaka 17 elimu yangu darasa la saba nina nyumba 4 mbili ziko dar nimepangisha zote ila moja ipo Makambako ndo Nyumbani kwangu ilipo familia yangu, moja Mbeya mjini hii ni hosteri nimepangisha wanafunzi pale chuo cha MUST nina gari 3 na moja yangu ya mke wangu na fuso tani 20 nina shamba kubwa la mpunga tena la mradi hekta 5 nina miaka 10 tena jeshini natarajia kustafu mwaka 2032 nitakuwa na miaka 48 nastaafu nikiwa bado jank tuu na nishasema 2032 nastaafu sitaki mpaka nifiki miaka 55 sina shida kwaiyo basi msitudharau sisi maskari tusio na vyeo tuna ishi vzr tuu na kama ujui awo makamanda wetu ma mojar na ma lutern kanal tuna wakopesha sana pesa mana wanafuliaga hatari mtu kama mm sifurii mana nimejimarisha kiuchumi siongei ivi kama sifa nimeongea hivi kukwambia ww usitudharau sisi maskari na kuwashadadia mafisa wenye vijogoo ukazini kwamba wao wanapesa awana kitu wale njaa kali mana wanapenda sana hanasa walevi na wauni awajui save pesa...acha kudharau askari tusio na vyeo.Acha kuwadanganya madogo ukiwa na form six utabaki kuwa askari wa kawaida tu au labda upate koplo hata wenye diploma huishia kupata vyeo vya kawaida tu. Kule polisi ishu ni degree hivyo madogo mukipata ajira hakikisheni mnajindeleza wale wenye manyota msidhani ni form four au six wengi wao wana digrii,masters...n.k
Mbona kama umepanic sasa jamaa kaulizia swala LA vyeo we unaanza kuzungumzia pesa ulizonazo kumbuka kuna wenye pesa kukuzidi na wamekausha tu hawaongei mjomba ...naomba kuwasilishaKwani coplo sio cheo mbona mimi Sargent wa JWTZ nina V 3 nimeingia jeshini mwaka 2000 nikiwa na miaka 17 elimu yangu darasa la saba nina nyumba 4 nina gari 3 na moja yangu ya mke wangu na fuso tani 20 nina shamba kubwa la mpunga tena la mradi hekta 5 nina miaka 10 tena jeshini natarajia kustafu mwaka 2032 nitakuwa na miaka 48 nastaafu nikiwa bado jank tuu na nishasema 2032 nastaafu sitaki mpaka nifiki miaka 55 sina shida kwaiyo basi msitudharau sisi maskari tusio na vyeo tuna ishi vzr tuu na kama ujui awo makamanda wetu ma mojar na ma lutern kanal tuna wakopesha sana pesa mana wanafuliaga hatari mtu kama mm sifurii mana nimejimarisha siongii ivi kama sifa nimeongea hivi kukwambia ww usitudharau sisi maskari na kuwashadadia mafisa wenye vijogoo ukazini kwamba wao wanapesa awana kitu wale njaa kali mana wanapenda sana hanasa walevi na wauni awajuu save pesa...
Kwani coplo sio cheo mbona mimi Sargent wa JWTZ nina V 3 nimeingia jeshini mwaka 2000 nikiwa na miaka 17 elimu yangu darasa la saba nina nyumba 4 mbili ziko dar nimepangisha zote ila moja ipo Makambako ndo Nyumbani kwangu ilipo familia yangu, moja Mbeya mjini hii ni hosteri nimepangisha wanafunzi pale chuo cha MUST nina gari 3 na moja yangu ya mke wangu na fuso tani 20 nina shamba kubwa la mpunga tena la mradi hekta 5 nina miaka 10 tena jeshini natarajia kustafu mwaka 2032 nitakuwa na miaka 48 nastaafu nikiwa bado jank tuu na nishasema 2032 nastaafu sitaki mpaka nifiki miaka 55 sina shida kwaiyo basi msitudharau sisi maskari tusio na vyeo tuna ishi vzr tuu na kama ujui awo makamanda wetu ma mojar na ma lutern kanal tuna wakopesha sana pesa mana wanafuliaga hatari mtu kama mm sifurii mana nimejimarisha kiuchumi siongei ivi kama sifa nimeongea hivi kukwambia ww usitudharau sisi maskari na kuwashadadia mafisa wenye vijogoo ukazini kwamba wao wanapesa awana kitu wale njaa kali mana wanapenda sana hanasa walevi na wauni awajui save pesa...acha kudharau askari tusio na vyeo.
Leta namba humu ndani uliyopigiwa nayo simuWakuu ni sereous kama unahitaji ku-prove tafuta mawasiliano ya pale dom waulize upate uhakika...then tuletee ushuhuda humu
Hahahaha Kuna watu Baada ya kuona tupo na Choo Cha Kulipia basi wanataka wao wawe wanapewa sifaaa hahahahahTupeni lonja
Hahahahah warundii wamevamia bogi la vijana hukuuuu
Tupe na wewe Lonja mzeeTupeni lonja
Hahahahah warundii wamevamia bogi la vijana hukuuuu
Hahahaha Kuna watu Baada ya kuona tupo na Choo Cha Kulipia basi wanataka wao wawe wanapewa sifaaa hahahahah
Umepgiwa mkuu??Duuh yaan wakuu bado hamuanini.?????haya bana ngoja tusubir pdf ya majina....
Msisahau sifa ya kwanza unaaHahahaha Kuna watu Baada ya kuona tupo na Choo Cha Kulipia basi wanataka wao wawe wanapewa sifaaa hahahahah
HahahaKumamae hakuna fani ya sheria. huu ni undezi
Uko makini kweli??Mpaka leo hakuna aliyeitwa kwenye usaili humu hata mmoja???
Usijali mkuu, watakuamini wakipigiwa.Duuh yaan wakuu bado hamuanini.?????haya bana ngoja tusubir pdf ya majina....
Ww n police au[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji23][emoji1787][emoji23]Tuonane gate la CCP 10/11 vijana wangu
Pale wanakula Hadi wakina Tembo na Nyumbu mzeeHahahahaha, mkuu ushaipigia hesabu ile mipande ya minofu na lile sembe pori
Unajua maana ya Urasimu?Yani polisi mna mambo ya ajabu sana ndugu zetu nyiny sasa cheti cha kuthibitisha afya kutoka kwa Daktari cha nini???kwani uyo muombaji akija uko amumpimi afya yake ???mpaka mpate cheti kutoka kwa daktari kuthibitisha afya yake je kama mtu akidanganya jee???nu mambo ya hovyo sana.
Mbona sisi atuko hivyo nakumbuka tulienda kufanyisha usaili kambi ya JKT Mgambo kipindi sisi tulikuwa tunataka tuu kuangalia vyeti kama majina yamefananu na kile kiwango chetu cha ufaulu tunachokitaka kama upo clear tunakupima ukimwi,sukari,presha na macho kama vipimo vyote uko vizuri ndo ushapata ajira no longo longo...
By the way ndo mana mna dharaulika na kuambiwa hata iyo Police General Order amuifahamu mnashangaza mno kwann mnakuwa hivi nyinyi ndugu zetu sisi wote tuna save ssme flag why mnamambo ya ajabu ajabu mpaka kuweni specific bhana....