Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Hii ni PT na UT au both team to score?
 
kuna mzee alimtext sombobody x kuwa kuna nafasi mbili za polisi kama anavijana ampe majina(mkoani) yule mtu x akajibu ninao wawili ila mmoja hajapita JKT
yule mzee akajibu mlete huyo mmoja. huyu ambaye hana cheti cha JKT hata nikimpachika wakubwa watamchomoa na kumrejesha nyumbani.


Lonja ya PT kambi za mikoani nawapa hii wakuu
 
Dah mwangu huu usaili nilitemwa live afu ilikuwa haitaki ata connection yyt mwenye sifa na achukuliwe chap,walikuwa wanataja tu sifa flan kama hauna unapungua mwenyew mpk wakamaliza wakabaki na wenye vigezo vyote
 
Huyo angekuwa wa ikulu kweli angemchomeka jamaa jwtz tayar maana bogi lililipo msata saiv ni zaidi ya 2500+ mafunzo yamefunguliwa hata wiki mbili haijapita.
Askari 3000 Msata. Kama bogi lingine litakuja labda wapeleke kambi nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…