methodinho
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 489
- 549
Starehe zilizopitiliza kiasi cha kutokuchunga afya zao. Kna private tukiwa kakata Alikuw anatuhimiza sn tuzichunge afya ze2,hasa wenye ndoto ya kuingia jeshini. Lkn me naon afya ndio kla k2 hata km haun mpango na mambo ya majeshi
Nimekuelewa vzr mkuuStarehe zilizopitiliza kiasi cha kutokuchunga afya zao. Kna private tukiwa kakata Alikuw anatuhimiza sn tuzichunge afya ze2,hasa wenye ndoto ya kuingia jeshini. Lkn me naon afya ndio kla k2 hata km haun mpango na mambo ya majeshi
Hahahaha mkuu umenifurahisha hapa et macho kama yanataka kufunga[emoji23][emoji23][emoji23]baka linakuwa bado bichi,macho mekundu kama umekula ngada, juu kipara bado kinachomachoma na sura zao nyeusiii ile moment kuna mwana aliingia karudi yaani anakuangalia kama hakuangalii vile macho yanataka kufunga hayafungi yaan fujo tu.
Yeah ukiangalia huko juu pia kulikuwa n story za magereza, fire na uhamiaji nashangaa tpdf zinapigwa vitaUzi mzuri sana huu me naona tungekuwa tunadiscuss ish zote za majeshi yetu sio kubaguana mara wa TPDF waanzishe uzi wao hyo haipendezi makamanda.
NATAMANI WOTE TUINGIE CHOMBONI SIKU TUPATE PARTY YETU TUKIWA ENEO LA RAHA KWA PAMOJA.
Asee nyingi sana, luten wenyew ndo hawa 22yrsyaah hio nipamoja na benefits zote mkuu
Kama yupo vikosi vya Jkt Ni easy kukupiganishiaDaaah haya maisha asee sjui baba mdogo sajenti wa jeshi lkn ananiangalia tu mtaani nateatea na kulob lob miaka inaenda, kmkk daah
Yeye yupo kv mkuuKama yupo vikosi vya Jkt Ni easy kukupiganishia
Ningekuwa mbali sana saiv ila namuachia mungu tu daahNiliingia jakata nikiwa chaliii sana lkn daah umri unazidi kwenda
Maslahi mazuri JWTz nakumbuka masela walioingiaga military science baada ya kutoka kule wakapewa mikopo ya lazima 40m....wapo waliotumia kujenga...wengine wakanunua ndinga. Nakumbuka kuna mwana mmoj yeye akaamua kukubaliana na mwanajeshi mwenzake wa kike wawe wapenzi tu afu hiyo pesa wafanye vitu vya msingi kwa pamoja. Wakajenga na kununua usafiri fresh tu 😂.Asee nyingi sana, luten wenyew ndo hawa 22yrs
Yaaani mkopo milioni 40 alafu ya lazima, watanikata kwa miaka mingapi sasa kulipa deni lao yaani freshi tuMaslahi mazuri JWTz nakumbuka masela walioingiaga military science baada ya kutoka kule wakapewa mikopo ya lazima 40m....wapo waliotumia kujenga...wengine wakanunua ndinga. Nakumbuka kuna mwana mmoj yeye akaamua kukubaliana na mwanajeshi mwenzake wa kike wawe wapenzi tu afu hiyo pesa wafanye vitu vya msingi kwa pamoja. Wakajenga na kununua usafiri fresh tu 😂.
SureYeah ukiangalia huko juu pia kulikuwa n story za magereza, fire na uhamiaji nashangaa tpdf zinapigwa vita
Hii nilisikia maafisa wa jeshi hawatakiwi kupanda daladala sina hakika lakini.Maslahi mazuri JWTz nakumbuka masela walioingiaga military science baada ya kutoka kule wakapewa mikopo ya lazima 40m....wapo waliotumia kujenga...wengine wakanunua ndinga. Nakumbuka kuna mwana mmoj yeye akaamua kukubaliana na mwanajeshi mwenzake wa kike wawe wapenzi tu afu hiyo pesa wafanye vitu vya msingi kwa pamoja. Wakajenga na kununua usafiri fresh tu [emoji23].
Never give up man everything gonna be alrightNingekuwa mbali sana saiv ila namuachia mungu tu daah
Eeh mkuu sijakata tamaa japo umri unakimbia kamandaNever give up man everything gonna be alright
Iliniuma saana just imagine mwaka 79 tuna t.v. ya Hitachi tulitumiwa na baba mkubwa kipindi hicho anachezea fc bandari ya tanga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mara ya pili unarudia hii kaka,kwel imekuuma sn,t.v ya kichogo
Ni kweli. Kama una uniform hutakiwi. Inakulazimu tu uwe na usafiri. Ndio hiyo mikopo inapokuja.Hii nilisikia maafisa wa jeshi hawatakiwi kupanda daladala sina hakika lakini.
Mkuu tuma na ya UT kama unayopgo hii hapa