methodinho
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 489
- 549
Mkuu wanajuaje kama ww ni LQ wanakuwa na kipimo au vipiIQ ni kirefu cha Intelligence Quotient yani kipimo cha uwezo wa mtu kiakili..kuwaza na kuchakata jambo kisahihi
Kwahyo ukisema mtu ana low IQ ..inamaanisha uwezo wake wa kuchakata mambo ni mdogo
Jamaa alichelewa kufoleni akajitetea hakuona ndala zake akachelewa kukogaDuuuh sasa Huyo mwenye kandambili alienda kumchoma?
Kama umri unaruhusu kajitolee mkuuEbhana pole sana, me nawaza mambo yakigoma nikajitolee mwaka huu , hiki cha mujibu nitupilie mbali. Mitaji yenyewe migumu kupata
Sawa sawa mkuuLow IQ ni kilaza,Mbumbuu
Kozi sijui kwa kweli si unajua hayo ni mambo ya ndani tena siri
Sawa sawa mkuuLow IQ ni kilaza,Mbumbuu
Kozi sijui kwa kweli si unajua hayo ni mambo ya ndani tena siri
Mwaka huuu zinaweza toka mapemaKama umri unaruhusu kajitolee mkuu
Safii..hiko ndo cha muhimu mkuu!! Tujiaandae kisaikolojiaSio poa mkuu patakua na balaa humu ingawa sie wengine tupo na Mungu tu maana mbanga wengine hatuna na nimeshajiandaa kisaikolojia kwa lolote
Mwenye nyota TATU ni INSPECTORNdio. Assistant Superintendent of Police.
Kijana vijue na vyeo vya hawa jamaa usije ukaulizwa kwenye interview yenu [emoji23]
Nyota mbili ndio mkaguzi
Mkuu wanajuaje kama wewe ni kilaza au wana vipimo vyaoLow IQ ni kilaza,Mbumbuu
Kozi sijui kwa kweli si unajua hayo ni mambo ya ndani tena siri
hahahahaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu wanajuaje kama wewe ni kilaza au wana vipimo vyao
ππππππwe jamaaMkuu wanajuaje kama wewe ni kilaza au wana vipimo vyao
sajenti kupambania izo nafasi ngumu sana mkuu tusilaumu sana huwenda mungu ametuandalia nafasi bora zaidiDaaah haya maisha asee sjui baba mdogo sajenti wa jeshi lkn ananiangalia tu mtaani nateatea na kulob lob miaka inaenda, kmkk daah
Kwani mbeya wanafanya usaili wa polisi sahivi ?Waliopinga kuwa kuanzia Tarehe 2 usaili PT mikoani unaanza wako wapi...!!!??
Watu wangu wa Mbya mjipe moyo mtatoboa salama hadi Ijumaa hii usaili utakapomalizika!!
Kuanzia next week, pdf la wasomi litaangushwa muda wowote !!
Eeeh nimeuliza tu mkuu ili nipate kufahamu wanajuaje pengine wanavipimo vyao au laahππππππwe jamaa
Inawezekana ikawa kweli mkuu ila silaumu sanasajenti kupambania izo nafasi ngumu sana mkuu tusilaumu sana huwenda mungu ametuandalia nafasi bora zaidi
Hawa jamaa huwa wananizibia magepu yangu ya chap chap milioni hiyoWalikugongea dem nini au walishiriki kuiba Hitachi yenu 1979?
Unajijua kwa kutojiongezaMkuu wanajuaje kama wewe ni kilaza au wana vipimo vyao