Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Sasa chief umesomea ualimu halfu hutaki kufundisha 😀😀😀
 
Sasa chief umesomea ualimu halfu hutaki kufundisha [emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji16][emoji16][emoji16]hamna sema sijaelezea vizuri tu iyo yote imetokea wakati nmemaliza fm6 sasa me nkaona kusoma chuo ni uongo sitaki hayo mambo ndo nkaona ni bora niingie kwenye vyombo vya usalama kama kusoma ntasomaga mbele ya safari uko.

Sasa yeye ndo kajitokeza et me nisomee ualim SERIOUS!!!!
 
Hahahahaaa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Oya kaka mkubwa Haina haja ya kufikiria nenda kapige kazi Riziki ni popote tu.
Kuna mitego mingi nimeiweka huu mwezi mzee maana kuna viajira vya kada yangu vilitoka mwishoni mwa mwaka jana so interviews zitakuw huu mwezi...hii ya kuvolunteer nitaenda yote ikishindikana... sijawakatalia hawa ila nimeomba kuanza mwezi ujao ili huu mwezi nichakarike kwanza na hizi full jobs.

Kikubwa tuendelee kusali na kuomba. Mungu anajibu.
 
comment ya mwaka hii
 
Mamaee ova

One man down ova
I Get you Bravo ova
 
TUMEKWISHAA🙌🙌🙌😢😳😳😳 Leaving????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…