SaulGoodman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 418
- 906
Hao ni Uhamiaji au Polisi, au wote?I am certain boss...kama mambo yakienda kama yalivyopangwa basi kuanzia tarehe za mapinduzi pale wataita...sema walioomba ni wengi kinoma kama hauna connection kuitwa kwenye interview basi uwe umewatimizia kila walichoomba...naambiwa wengi hawajaweka leaving certificates wanawatema...
Sawa sawa mkuuKuna mitego mingi nimeiweka huu mwezi mzee maana kuna viajira vya kada yangu vilitoka mwishoni mwa mwaka jana so interviews zitakuw huu mwezi...hii ya kuvolunteer nitaenda yote ikishindikana... sijawakatalia hawa ila nimeomba kuanza mwezi ujao ili huu mwezi nichakarike kwanza na hizi full jobs.
Kikubwa tuendelee kusali na kuomba. Mungu anajibu.
Yes amewekwa jana aliekua naibu mkurugenzi wa kaundaNaona wa kaunda wamepata boss mpya
Kuzuri sana huku nakutamani sio poa.
Na hao ni wenye vyeti vya jkt je ambao hawana wapo mtaani hawajaomba watakuwa wangapiTunaposema unemployment ni janga nchi hii kuna watu wanadhani utani ,sio utani
noo mkuu,kuna watu hawana jkt ila wameomba hzi postNa hao ni wenye vyeti vya jkt je ambao hawana wapo mtaani hawajaomba watakuwa wangapi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
I am certain boss...kama mambo yakienda kama yalivyopangwa basi kuanzia tarehe za mapinduzi pale wataita...sema walioomba ni wengi kinoma kama hauna connection kuitwa kwenye interview basi uwe umewatimizia kila walichoomba...naambiwa wengi hawajaweka leaving certificates wanawatema...
Mambo huwa yapo tight sanaNa hao ni wenye vyeti vya jkt je ambao hawana wapo mtaani hawajaomba watakuwa wangapi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kuna shemeji yangu ni kitengo haswa time nimemaliza form four nilimwambia anifanyie connection niingie PT anazinguaAmin ndugu wa damu miyeyusho tu sometimes Sasa me nilikuwa nataka niingie kwenye vyombo vya usalama kuna ndugu mwingine akawa anawajaza watu wa connection et me namkatalia kuingia kwenye ualimu Sasa me na kigugumizi changu nikamfundishe mtt wa nani atanielewa pumbav zake
Ni balaa MasterNa hao ni wenye vyeti vya jkt je ambao hawana wapo mtaani hawajaomba watakuwa wangapi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
story teller ulieiva mkuuKuna shemeji yangu ni kitengo haswa time nimemaliza form four nilimwambia anifanyie connection niingie PT anazingua
Siku mmoja night akanita nikaenda nae kwa RPC nikaambiwa kuna nafasi moja ya magerza kesho yake asubuhi nijiandae nikalipoti kikosini
Nikarudi home nikamwambia sister kuhusu hiyo nafasi sister akawasha moto wa laki tatu (nadhani hata usiku hakumpa mbususu shemeji)
Asubuhi yake matokeo ya form four yakatoka nina devision one ya 9 (shemeji alikuwa anajua mm ni kilaza maana miaka hiyo hiyo anamfukuzia sister mm ndio alikuwa ananipa shilingi kumi naenda kumwita sister alafu hiyo shilingi kumi ninanunua jojo gorori kumia au pipi kidonge kumi na some time nilikuwa ninanunua pemba(udongo))
So after matokeo shemeji akakataa nisiende advance nikaenda chukua diploma after kumaliza akanipeleka home kwa fisadi mmoja ambae sasa ni marehemu(Mungu ailaze roho yake panapostahili) nikapewa connection ya TPA
so sometime ndugu zetu wanatubania sababu hawatuamini au wanatutafutia sehemu nzuri zaidi kama shemeji yangu japo mm lengo langu ni kuwa PT ili nimkamate jambazi eliyetuibia t.v. yetu ya kichogo mwaka 1979
Note
•Alitaka anifiche magereza bila cheti chochote akiamini mm ni kilaza
•After kunyimwa mbususu na kuamini nina akili akinitafutia gape zuri japo silipendi
Mkuu kaunda kuna mkurugenzi mwingine tena mpya au...maana sinaga hata na mpango wa taarifa ya habari ***** nikitoka kupiga zege ni usingizi tu *****Yes amewekwa jana aliekua naibu mkurugenzi wa kaunda
Kuna shemeji yangu ni kitengo haswa time nimemaliza form four nilimwambia anifanyie connection niingie PT anazingua
Siku mmoja night akanita nikaenda nae kwa RPC nikaambiwa kuna nafasi moja ya magerza kesho yake asubuhi nijiandae nikalipoti kikosini
Nikarudi home nikamwambia sister kuhusu hiyo nafasi sister akawasha moto wa laki tatu (nadhani hata usiku hakumpa mbususu shemeji)
Asubuhi yake matokeo ya form four yakatoka nina devision one ya 9 (shemeji alikuwa anajua mm ni kilaza maana miaka hiyo hiyo anamfukuzia sister mm ndio alikuwa ananipa shilingi kumi naenda kumwita sister alafu hiyo shilingi kumi ninanunua jojo gorori kumia au pipi kidonge kumi na some time nilikuwa ninanunua pemba(udongo))
So after matokeo shemeji akakataa nisiende advance nikaenda chukua diploma after kumaliza akanipeleka home kwa fisadi mmoja ambae sasa ni marehemu(Mungu ailaze roho yake panapostahili) nikapewa connection ya TPA
so sometime ndugu zetu wanatubania sababu hawatuamini au wanatutafutia sehemu nzuri zaidi kama shemeji yangu japo mm lengo langu ni kuwa PT ili nimkamate jambazi eliyetuibia t.v. yetu ya kichogo mwaka 1979
Note
•Alitaka anifiche magereza bila cheti chochote akiamini mm ni kilaza
•After kunyimwa mbususu na kuamini nina akili akinitafutia gape zuri japo silipendi
Mzee wa ikulu fanya mapekeche bhas kijana wako zege linaniua aseeKuna shemeji yangu ni kitengo haswa time nimemaliza form four nilimwambia anifanyie connection niingie PT anazingua
Siku mmoja night akanita nikaenda nae kwa RPC nikaambiwa kuna nafasi moja ya magerza kesho yake asubuhi nijiandae nikalipoti kikosini
Nikarudi home nikamwambia sister kuhusu hiyo nafasi sister akawasha moto wa laki tatu (nadhani hata usiku hakumpa mbususu shemeji)
Asubuhi yake matokeo ya form four yakatoka nina devision one ya 9 (shemeji alikuwa anajua mm ni kilaza maana miaka hiyo hiyo anamfukuzia sister mm ndio alikuwa ananipa shilingi kumi naenda kumwita sister alafu hiyo shilingi kumi ninanunua jojo gorori kumia au pipi kidonge kumi na some time nilikuwa ninanunua pemba(udongo))
So after matokeo shemeji akakataa nisiende advance nikaenda chukua diploma after kumaliza akanipeleka home kwa fisadi mmoja ambae sasa ni marehemu(Mungu ailaze roho yake panapostahili) nikapewa connection ya TPA
so sometime ndugu zetu wanatubania sababu hawatuamini au wanatutafutia sehemu nzuri zaidi kama shemeji yangu japo mm lengo langu ni kuwa PT ili nimkamate jambazi eliyetuibia t.v. yetu ya kichogo mwaka 1979
Note
•Alitaka anifiche magereza bila cheti chochote akiamini mm ni kilaza
•After kunyimwa mbususu na kuamini nina akili akinitafutia gape zuri japo silipendi
Mkuu unachoongea kina ukweli Lakin kuna vitu ni talent sasa mimi ata group discussion yenyewe nlichokuwa naongea hakieleweki ndo ntaweza kukalisha darasa zima linisikilize na kunielewa kweli???Kuna shemeji yangu ni kitengo haswa time nimemaliza form four nilimwambia anifanyie connection niingie PT anazingua
Siku mmoja night akanita nikaenda nae kwa RPC nikaambiwa kuna nafasi moja ya magerza kesho yake asubuhi nijiandae nikalipoti kikosini
Nikarudi home nikamwambia sister kuhusu hiyo nafasi sister akawasha moto wa laki tatu (nadhani hata usiku hakumpa mbususu shemeji)
Asubuhi yake matokeo ya form four yakatoka nina devision one ya 9 (shemeji alikuwa anajua mm ni kilaza maana miaka hiyo hiyo anamfukuzia sister mm ndio alikuwa ananipa shilingi kumi naenda kumwita sister alafu hiyo shilingi kumi ninanunua jojo gorori kumia au pipi kidonge kumi na some time nilikuwa ninanunua pemba(udongo))
So after matokeo shemeji akakataa nisiende advance nikaenda chukua diploma after kumaliza akanipeleka home kwa fisadi mmoja ambae sasa ni marehemu(Mungu ailaze roho yake panapostahili) nikapewa connection ya TPA
so sometime ndugu zetu wanatubania sababu hawatuamini au wanatutafutia sehemu nzuri zaidi kama shemeji yangu japo mm lengo langu ni kuwa PT ili nimkamate jambazi eliyetuibia t.v. yetu ya kichogo mwaka 1979
Note
•Alitaka anifiche magereza bila cheti chochote akiamini mm ni kilaza
•After kunyimwa mbususu na kuamini nina akili akinitafutia gape zuri japo silipendi
Hata jamaa wa ikulu aliniambia hivistory teller ulieiva mkuu
Hata jamaa wa ikulu aliniambia hivi
Hivi hyo 650k ni laki sita na hamsini au elfu 65? [emoji23][emoji23][emoji23]Dah kuna sehemu wameniita nijitolee kwa mwaka mzima kwanza huku wakinilipa 650k ndio wanipe kazi kamili..dah njaa hizi unaweza ukakubali afu nafasi zingine za maana zitokee zikupite [emoji23]
Hivi hyo 650k ni laki sita na hamsini au elfu 65? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo kwenye talent ndio issues ilipo labda kwa mawazo yake yeye anaona ualimu ni kazi ambayo haina changamoto saanaMkuu unachoongea kina ukweli Lakin kuna vitu ni talent sasa mimi ata group discussion yenyewe nlichokuwa naongea hakieleweki ndo ntaweza kukalisha darasa zima linisikilize na kunielewa kweli???
Duuuh nimepata k2 aiseKabla ya ajira za upolisi mwaka 2021 nilikuwa na ndugu mkubwa tuu huko juu polisi.... Alinisisitiza kuwa ajira zikitoka nimstue na atalishughulikia!!! Baada ya ajira kutoka nikamstua akichonijibu ni kuwa nitapata tuu bila hata yeye, hakuuliza majina wala kikosi wala ninii akapita hivi.!!!
Mwanzoni mwa mwaka 2022 nikamfahamisha mtu mmoja ambaye sio ndugu wala nini shida yangu ya kutaka kujiunga huko, nae ni polisi na ni mmama... Alisikita sana nimechelewa kumwambia kwani alipewa nafasi tatu na hakuwa na mtu mwenye vigezo ilimbidi azikatae..!!
Lakini aliniambia nisife moyo zikitoka nyingine nimtafute!! Haya sasa zinetoka yeye ndio alianza kwanza kunitafuta, kuniuliza details zote na kuahidi kunishughulikia!! Hadi sasa naona mwanga!!
Huyu mtu ni mtu baki na ameniona mara moja tuu physically..na hapo ni upande wa PT.
The same thing kwa vyombo vingine...
Ndugu bwa kweli sio damu wakuu.. hawa ndugu wa damu ukitoa wazazi mara nyingibwao tuu ndio wanapenda kuwa juu!!