Mwakani tena mwaka huu watatoa kujitoleaLabda asiseme kama alikuwa muijibu
Sema sahivi wapo wiki Kama ya tano hivi mda si mrefu watasomewa force number asubiri mwakani
Hivi kama una banga ukipata force number kwa walio makambini mda huu si ccp unaenda chap ? Au inakuwaje ?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wahuni walikula virungu kuvamia kozi tembea Sana ubata Bata na ma trankaKaka tumeshaongea naelewa huu mwezi kitaeleweka .Mitego yote ya uraiani au UT na JW ikibuma nitapambania huko PT nitavamia hata course [emoji23] . Ila Mungu mwema mwanga nauona nazidisha maombi. God will open doors
Hakika mkuu Kuna ambush za majambazi kupambana nao ,huko majeshi mengine bado Kuna ishu za kupambana na waasi huko kongo shida mzeee wanguKaka usiache kuwaambia vijana hizi kazi zina changamoto kubwa sana kuliko tunavyofikiria..kwahyo watu msizame chomboni kwa kigezo cha mshahara utaenda kujuta baada ya miaka kadhaa
Uaskari sio kuvaa uniform ni kazi ya kujitoa na kupambana kweli kweli
Tufungue mioyo yetu kwa asilimia zote ..kazi usipoipenda ni kazi kweli kweli
Still ni nyingi Sana kutokana zenji ina watu wachache sana kulinganisha na huku kwetu bara,zenji kama mkoa tu ila siasa hizi zinachezwa narudia tena nafasi 500 kwa zenji ni nyingi yapaswa ziwe nusu ya miatano (250)Mwaka huu wazenji wamepewa nafasi 500 za PT.
Hahaaa wapi hapo ? ccp au ?Wahuni walikula virungu kuvamia kozi tembea Sana ubata Bata na ma tranka
PCCB mwaka Jana acha tuu, mi nilikuepoHivi PCCB wanarudi tena kuchukua watu mwaka huu , ? ,Vipi kuna mdau yeyote aliye apply mwaka jana au aliyehudhuria sahili zao hao jamaa , au mwenye lonja yoyote kuhusiana nao asogeze hapa
Oljoro hiyo mzeeee wahuni walivamia aseeeeeHahaaa wapi hapo ? ccp au ?
Hivi PCCB wanarudi tena kuchukua watu mwaka huu , ? ,Vipi kuna mdau yeyote aliye apply mwaka jana au aliyehudhuria sahili zao hao jamaa ? , au mwenye lonja yoyote kuhusiana nao asogeze hapa
Mwaka huu wazenji wamepewa nafasi 500 za PT.
Vipi magumashi yalikuwa mengi au sio.PCCB mwaka Jana acha tuu, mi nilikuepo
PCCB mwaka Jana acha tuu, mi nilikuepo
Vipi magumashi yalikuwa mengi au sio.PCCB mwaka Jana acha tuu, mi nilikuepo
PCCB mwaka Jana acha tuu, mi nilikuepo
Anhaa ,πππππpale lazima wakusulubu nimepita ile kambi kwa kozi ya JKT mujibu , bonge la kambi ,full maovyo ovyo ,kama nawaona vile walivyokuwa wanaburuzwa kwa doso kwenye lile vumbi kama Poda πππππππOljoro hiyo mzeeee wahuni walivamia aseeeee
Nataka kwanza nimkamate jambazi eliyetuibia t.v. yetuMzee komaa hapo hapo TPA ukusanye hela utengeneze familia na uanze kujenga huku ukitembelea premio yake safi kabisa
Wanaogopa wasiongee kuvuka mipakaDaah hatari sana, halafu hawa jamaa wengi wao hawapendi maswali mengi sijui kwann
Nataka nimkamate jambazi eliyetuibia t.v. yetuMzee komaa hapo hapo TPA ukusanye hela utengeneze familia na uanze kujenga huku ukitembelea premio yake safi kabisa
Ilikuwa 2015/16 ndo mwisho wa UT kudandia chuo cha CCP mafunzo. Hivi sasa UT wana chuo chao Tanga hawapigi tena kozi TPS(CCP)Tizi ni muhimu mkuu, hata kwenye maisha ya kawaida
Swali langu ilikua ni nature ya kozi za UT na PT zipo sawa au vipi? Maana kuna mwaka UT walikua wanapiga kozi pamoja na PT pale CCP
Majina ya walioitwa kazini hayakutolewa. Walisema waliochaguliwa wametumiwa email kwaiyo waangalie inbox zao, ambao hawakupata email basi ndio wamekosa. Sa Kuna nn apo?Vipi magumashi yalikuwa mengi au sio.
Tupe lonja
Sio kuvamia course boss unakofikiria mkuu. Siwez kujipeleka tu mm kama mm.Wahuni walikula virungu kuvamia kozi tembea Sana ubata Bata na ma tranka