Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

New updates kutoka kwa wahusika
1.Wasio kuwa na vyeti vya jkt/jku wanawekwa kando
2.Wale ambao hawajafanya verification ya vyeti mahakamani(hakimu/mwanasheria) pia kando

3.Ambao wamegoma kuambatanisha medical report pamoja na nambari ya NIDA kama walivyoitaji wao,kando

Vitu ambavyo watarushiwa watu vitaulo ni
1.kutoweka passport size
2.kutoweka leaving certificates

Nimeambiwa kunaeatu badala ya kuandika barua kwa mkono wao wametype ao nao wanaliwa vichwa

Tarehe rasmi ya kutoa majibu haijulikani mpaka sasa,so kama unamishe zako we kufanya
 
Io verification ya vyeti n uhamiaji tu.
 
Hii ni kwa UT???
It makes sense though
 
Asnte kwa lonja
 
Lonja ya UT✍️👌
 
PT hawaku specify Kama Kuna tuna certify vyeti au lah!.

Hata kwenye vitu vya kuambatanisha hiyo medical form haikuwepo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana Kabisa waombaji wa uhamiaji wapo wengi kuliko PT kwenye hizi ajira Sababu watu wengi wasikuwa na jakata pia walijaribu kuomba me pia nipo nao mtaani nawajua wengine graduates alivyoona uhamiaji wametoa akasema me polisi siombi tena nakomaa na uhamiaji wakinitema basi hii ipo kwa wengi wanapakubali sana UT ,kuna wengine marafiki zangu wanalo jakata sema wanasema mazoez ya UP ni magumu siombi upolisi naomba uhamiaji tu ✍️😅😅
 
Na kuna watu wameomba polisi na cheti cha form six ngoja tuone hawa itakuaje

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
PT hawaku specify Kama Kuna tuna certify vyeti au lah!.

Hata kwenye vitu vya kuambatanisha hiyo medical form haikuwepo.View attachment 2469459

Sent using Jamii Forums mobile app
PT hawajasema tu certify pia isitoshe ilikuwa ni online kwaiyo unawewka soft copy ya original siyo karatasi za copy ya cheti always maombi ya online yapo hivyo ila za kupeleka posta hzi kuandika ni vizuri maombi ya mtu iwe serikal au private uka certify vyeti vyako , kingine kwnye majeshi medical form ni muhimu Sana wanasemaga muombaji awe na afya njema iloyothibitishwa na daktari ni vyema ukaweka.
 
Hiyo medical form sija i attach maana nilipoiona haipo kwenye requirements nikapiga chini.

Leaving certificate nayo sina kwahiyo kwenye attachment pale sijaiweka.

Nilijaribu kuwauliza mates Kama Kuna mtu alipewaga leaving certificate shuleni ila kila mtu anakataa which means shule haikutoa hiyo leaving.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nikushauri kitu kaka. Toa copy za vyeti vyako( coloured copies) , vicertify then viscan. Siku hizi kuscan ni rahisi tu kwa simu hivyo unakuwa na certified soft copies zako. Kazi yoyote ikitokea unaomba kupitia hivyo. Sio wote wanaosema utume certified copies ila hata kwa online applications zinaweza application yako kuw much more genuine. Nina ushuhuda katika hili.
 
Ku scan kwa simu sikushauri[emoji16].

Bora utoe jero stationary tu.

Yaani!! Pdf yako kwa pale chini kale kaneno 'Camscner" sio kweli mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani form 6 nao walikua wanahitajika?

Vigezo si ilikua ni form4, Certificate, diploma na bachelor?.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawakuitajika na wala hawakuorodheshwa kabisa watu hawasomagi matangazo siku hizi wanakariri

Wanajua degree na diploma na form 4 akitajwa basi automatically form six anakuwepo swali je barua ya maombi imetaka hivyo?


Vitu vidogo kama hivyo vinawaponza


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…