Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Huu ubishi wa ku certify vyeti kwa maombi ya ajira za polisi sijui unatoka wapi

kuhusu ku certify cheti kwa polisi we form 4 ambaye vyeti havija kuwa certify unatuma vizuri tu kama wanaitaji vilivyo certify wangekwambia Kama uhamiaji walivyosema kwenye tangazo

Hivi haya matangazo huwaga mnayasoma vizuri ?

lakini haimaanishi kwamba ukituma kilicho certify wanakataza hapana pia ni sawa kama ume certify tuma fanya unaa kabisa[emoji16]

Tena wengi ambao vyeti vyao vimekuwa certify ni hawa watu wa shahada astashahada wengi wana account ajira portal . vyeti walivyo upload huko lazima viwe certify hivyo basi wengi wametumia copy zake kwenye maombi ya upolisi kama waliamua lakini sio lazima .











Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Watu wametia unaa wa kutosha 😂
 
Tumeumaliza mwendo😢😢😢
 
Si wadau huko juu wamesema polisi usaili baadhi ya mikoa unaendelea kwa wale form 4 pdf ya nini tena

Au unazungumzia wenye fani ?

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Watu hawaspecify mikoa ipi , hiyo namaanisha watakao itwa kwa walioombea mikoani mkuu, sijajua itakuwa ni simu au ni majina yanawekwa kwenye mbao
 
Watu hawaspecify mikoa ipi , hiyo namaanisha watakao itwa kwa walioombea mikoani mkuu, sijajua itakuwa ni simu au ni majina yanawekwa kwenye mbao
Kuna mmoja nakumbuka post za huko juu alitaja mkoa wa mbeya saili zinaendelea za polisi

Hakusema kama walipigiwa simu au mbao za tangazo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Utakujaga kwenda chaka wewe unajua maana ya nakala???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…