mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Hata hivyo hatujuani Tuheshimiane Tu.Unaweza Kuta Unaongea na Baba Yako mzazi Humu na Mm ndio nakupambania Upate ShavuWe jamaa tatizo unajifanya unajua kila kitu kumbe ni mweupe tu ,unawaita hadi watu matapeli na kujiona mjuaji sana ila ni mpuuzi mmoja tu hivi
Kazi Kazi.Kikubwa CCP Vijana waingie hahahhaDah nimecheka sana...kwamba afe kipa afe beki,,CCP lazima [emoji16][emoji16][emoji16],,,,[emoji119][emoji119]
Hahahahaha Sasa mbona Wanasema wamepigiwa Simu watuu...Ina maaana wewe unakataaYani , mkeka unao usubiriwa sio wa kupigiwa simu , mkeka ni ule wa makao makuu ya polisi, Kule ndo kuna majamaa yana mavyeo yenye mikasi wao ndo wanasema huyu weka huyu nyau toa, ongeza hawa kumi wa IGP, hahahahahahhaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kijana swala la kupigiwa simu, sio tatizo tatizo liko mzigo ukitumwa makao makuu ya polisi , huko ndo ukisikia mtu hajawai hata kufanya usahili ila yupo kwenye list.Hahahahaha Sasa mbona Wanasema wamepigiwa Simu watuu...Ina maaana wewe unakataa
Hahahahahahaha kwamba Wenye nafasi zao tayari wapooo eeehhh hahahahahKijana swala la kupigiwa simu, sio tatizo tatizo liko mzigo ukitumwa makao makuu ya polisi , huko ndo ukisikia mtu hajawai hata kufanya usahili ila yupo kwenye list.
Kwa hiyo Mkuu unataka kusema yatatoka Majina ya Watu walotuma MM Dodoma?Kijana swala la kupigiwa simu, sio tatizo tatizo liko mzigo ukitumwa makao makuu ya polisi , huko ndo ukisikia mtu hajawai hata kufanya usahili ila yupo kwenye list.
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]Kijana swala la kupigiwa simu, sio tatizo tatizo liko mzigo ukitumwa makao makuu ya polisi , huko ndo ukisikia mtu hajawai hata kufanya usahili ila yupo kwenye list.
Mkifika hapo ccp Msisahau Kumtumaini Mungu.Kwa mbali katika ulimwengu wa roho naskia..
"Makonstebo" Awiiiih... Najikuta namaliza Awaaah... Hahahahah
Wazee wa lonjaaa wenzenu ndo haooo... hadohadooo wanaondokaaa hayaa twendee.
Mkifika hapo ccp Msisahau Kumtumaini Mungu.
Huwa inasikitisha kwa namna fulaniMkifika hapo ccp Msisahau Kumtumaini Mungu.
Watoto wazuri kama kawaida
Ma file ya wakuu[emoji28][emoji23][emoji23]
Mtumishi vipi, vijana wanaruhusiwa kula tunda wakati wa kozi au [emoji23]Kwa mbali katika ulimwengu wa roho naskia..
"Makonstebo" Awiiiih... Najikuta namaliza Awaaah... Hahahahah
Wazee wa lonjaaa wenzenu ndo haooo... hadohadooo wanaondokaaa hayaa twendee.
Mkifika hapo ccp Msisahau Kumtumaini Mungu.
Labda Kama instructor ni "mdebwedo".Mtumishi vipi, vijana wanaruhusiwa kula tunda wakati wa kozi au [emoji23]
Nlikua mmoja wa hao wahanga sitakuja sahau kwenye life langu ila hivi nchi basi tu[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
KAMA MAGU ALIVYOKUWA,
NA ALIWAAMBIA MAKAMANDA WASIINGIZE WATU WAO KWA WALIOKULA COURSE YA JKT NA KUJENGA UKUTA MERERANI ILA NJEMBA ZILIINGIA HASA WANDUGU WA WANAOITWA WAKUBWA