Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakwambia kama huna mtu na unavigezo mavi sahau kabisa kuhusu swala la baati
Acha kutisha Vijana bwanaaaNakwambia kama huna mtu na unavigezo mavi sahau kabisa kuhusu swala la baati
Mimi ndo nakwambiaAcha kutisha Vijana bwanaaa
Mmmmhh unahc tuMimi ndo nakwambia
Usiseme hivoooMimi ndo nakwambia
je maandiko hayo yanamanaganiLabda Kama instructor ni "mdebwedo".
Ila kama mtu wa kazi, ashkhi ya tendo unaitoa wapi?
Uzinzi ni dhambi nzito Sana.. tuiepike zinaa.
1 Wakorintho 6:18
"Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe."
Constebo ni nn kiongoz???Vijana wa jkt raundi hii lazima mtafutane huko mtaani na huko makambini maana naona Mama anawapigia mwingi kweli kweli na hapo bado TPDF baba lao. View attachment 1951284
Dah ngoja nijaribu zari uhamiaji[emoji120]Vijana wa jkt raundi hii lazima mtafutane huko mtaani na huko makambini maana naona Mama anawapigia mwingi kweli kweli na hapo bado TPDF baba lao. View attachment 1951284
Ni kweli aisee.Vijana wa jkt raundi hii lazima mtafutane huko mtaani na huko makambini maana naona Mama anawapigia mwingi kweli kweli na hapo bado TPDF baba lao. View attachment 1951284
Dah ngoja nijaribu zari uhamiaji[emoji120]
Tangazo la mwisho halina mambo mengi hivyo uko sahihi.Mkuu hili tangazo la juzi..hawajasema.na barua ya utambulisho namie nishatuma tyr,kwahyo ntakua DISQUALIFIED?Na Kuhusu leaving,nimeattach ya form4 na form 6 tu..ila ya la7 sijaAttach,Vipi hapo pia?
Zaidi ya 80.Mkuu kama kapigiwa simu kuitwa uko kwa uzoefu ulionao Kuna % ngapi kwenda ccp?
Ukiona umeitwa jua umekidhi vigezo zoezi hili wamelenga kupunguza mrundikano wa watu,ukiitwa jua njia ya CCP imenyoka labda uzingue vipimo vya afya na documents zako.Hivi wanaita idadi sawa na walioitakaaa au wanaita wengi ili wawachuje.?
Mtu wa afya lazima utafanyiwa ka usaili pia kanakohusu aina ya fani uliyonayo.mkuu tupe hints..saili zao yanakua maswali ya shule au ni mazoezi tu?
Umeongea ukweli,simu ya mkuu wa utumishi haipoi sasa hivi ni miksa nina kijana wangu fulani fulani apate nafasi.Yani , mkeka unao usubiriwa sio wa kupigiwa simu , mkeka ni ule wa makao makuu ya polisi, Kule ndo kuna majamaa yana mavyeo yenye mikasi wao ndo wanasema huyu weka huyu nyau toa, ongeza hawa kumi wa IGP, hahahahahahhaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]