Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nakwambia kama huna mtu na unavigezo mavi sahau kabisa kuhusu swala la baati
 
Narudia tena , kama umeomba makao au kwa RPC. Kila kamanda ana mdau wake hapo ( ndugu wa karibu au close friend) sasa kila mkoa umepewa maelekezo idadi ya watu maana kwa watu 3200 na milioni 66 ni asilimia 0.00000000001% kwaiyo basi, kama unambanga tafuta huko juu mkoani ni chenga tu
 
je maandiko hayo yanamanagani
 
Unaweza pita mkoani ila makao ukapigwa down niamini mimi vijana, maana kuna wazee wa vyeo vya mikasi sio poa, wanatumia vidole tu, toa huyo weka huyo, Level ya RPC kuna vyeo kama 6 ivi ili ufike mkasi View attachment 1951295
 
Kadiri ya PGO..

ILA, Inspekta (Sio Haroun wa Gangwe Mobb), Insp.Jenerali wa Polisi anaweza kuongeza sifa/vigezo Kulingana na mahitaji.

Awiiiih.. Awaaah, Tukutane mkikaribia pass out.
 
Mkuu hili tangazo la juzi..hawajasema.na barua ya utambulisho namie nishatuma tyr,kwahyo ntakua DISQUALIFIED?Na Kuhusu leaving,nimeattach ya form4 na form 6 tu..ila ya la7 sijaAttach,Vipi hapo pia?
Tangazo la mwisho halina mambo mengi hivyo uko sahihi.
 
Hivi wanaita idadi sawa na walioitakaaa au wanaita wengi ili wawachuje.?
Ukiona umeitwa jua umekidhi vigezo zoezi hili wamelenga kupunguza mrundikano wa watu,ukiitwa jua njia ya CCP imenyoka labda uzingue vipimo vya afya na documents zako.
 
Umeongea ukweli,simu ya mkuu wa utumishi haipoi sasa hivi ni miksa nina kijana wangu fulani fulani apate nafasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…