Bia Ya Moto
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,227
- 2,816
Wakubwa huwa wanapewa nafasi labda 3 au 5 aweke watu wake hivyo ni kawaida kabisa.Kijana swala la kupigiwa simu, sio tatizo tatizo liko mzigo ukitumwa makao makuu ya polisi , huko ndo ukisikia mtu hajawai hata kufanya usahili ila yupo kwenye list.
Unadhani familia ya Nyerere hawapewi nafasi,zipo familia nchi hii ni first class citizens fursa kama hizi huwekewa nafasi zao.Hahahahahahaha kwamba Wenye nafasi zao tayari wapooo eeehhh hahahahah
Miezi 9 usisimamishe mnazi? Siyo rahisi.Labda Kama instructor ni "mdebwedo".
Ila kama mtu wa kazi, ashkhi ya tendo unaitoa wapi?
Uzinzi ni dhambi nzito Sana.. tuiepike zinaa.
1 Wakorintho 6:18
"Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe."
Enzi zile za JK zimerudi tena majeshini,enzi zile watoto wa wakubwa kuwakuta jeshini ni mmoja mmoja yaani maana ajira zimefunguliwa sasa,ajira za walalahoi majeshini na ualimu na ajira za wazito wizarani na taasisi kubwa kubwa.Vijana mshindwe wenyeweVijana wa jkt raundi hii lazima mtafutane huko mtaani na huko makambini maana naona Mama anawapigia mwingi kweli kweli na hapo bado TPDF baba lao. View attachment 1951284
Kifungu cha 3 ndiyo kinatumika zaidi,mtu anaingia CCP hata na miaka 30.Kadiri ya PGO..
ILA, Inspekta (Sio Haroun wa Gangwe Mobb), Insp.Jenerali wa Polisi anaweza kuongeza sifa/vigezo Kulingana na mahitaji.
Awiiiih.. Awaaah, Tukutane mkikaribia pass out.
View attachment 1951352
Hakuna sehem yenye wasomi wa kila aina na kila daraja la elimu kama kwenye vyombo vya ulinzi kuanzia la 7 wapo form four 4 wapo six wamejaa bachellor holder wakutosha ma doctor ma engineer ma pilot usisema ma docta bigwa wakumwaga tubadirike hii mentality kwamba Jeshini hakuna wasomi.
Tushabadikika boss,ndio maana tunafuatilia kwa ukaribu sana
Waache wakariri tu..Hakuna sehem yenye wasomi wa kila aina na kila daraja la elimu kama kwenye vyombo vya ulinzi kuanzia la 7 wapo form four 4 wapo six wamejaa bachellor holder wakutosha ma doctor ma engineer ma pilot usisema ma docta bigwa wakumwaga tubadirike hii mentality kwamba Jeshini hakuna wasomi.
Shukran kiongozi[emoji120]..... So na wale wa six na four wasubr majina yao yatoke pia au mpk waitweView attachment 1951663
View attachment 1951664
View attachment 1951665
View attachment 1951666
View attachment 1951667
View attachment 1951668
View attachment 1951670
View attachment 1951671
View attachment 1951672
View attachment 1951673
View attachment 1951674
View attachment 1951675
View attachment 1951676
View attachment 1951677
View attachment 1951678
View attachment 1951679
View attachment 1951680
View attachment 1951681
View attachment 1951682
View attachment 1951683
View attachment 1951684
View attachment 1951685
View attachment 1951686
View attachment 1951687
View attachment 1951688
View attachment 1951689
View attachment 1951690
View attachment 1951691
View attachment 1951692
View attachment 1951693
Form 6 na form 4 majina yao wanayapata kwenye ofisi za mkoa husika na usaili unafanyika huko kwenye ofisi za maRPCShukran kiongozi[emoji120]..... So na wale wa six na four wasubr majina yao yatoke pia au mpk waitwe
Huyu ndugu aliyetuma akaunti yake humu JF imefungwa ghafla maana hata huo mkeka bado haujakamilika mpaka mwisho majina ya watu wa astashahada Moderator shida niniView attachment 1951663
View attachment 1951664
View attachment 1951665
View attachment 1951666
View attachment 1951667
View attachment 1951668
View attachment 1951670
View attachment 1951671
View attachment 1951672
View attachment 1951673
View attachment 1951674
View attachment 1951675
View attachment 1951676
View attachment 1951677
View attachment 1951678
View attachment 1951679
View attachment 1951680
View attachment 1951681
View attachment 1951682
View attachment 1951683
View attachment 1951684
View attachment 1951685
View attachment 1951686
View attachment 1951687
View attachment 1951688
View attachment 1951689
View attachment 1951690
View attachment 1951691
View attachment 1951692
View attachment 1951693