Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

siku ya usahili wameagiza vifaa vya michezo ,aiseeh litakufa jitu kwa mabio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii nilisikia juzi kuna mtu nilimwambia aapply magereza akanambia sina hamu nao walinikimbiza mabio ya maana na ajira hawakunipa oyaa sio pw wanazingua sana kama ni hivyo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…