Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

PT haiendagi haraka kihivyo...unless mwaka huu labda ibadilike. Mchakato wa kuchambua bado unaendelea. Na Mikoani huko bado hawajakamilisha.
Ni kweli bado maombi wanayachanganua Sasa kuna wadau huku wamesema wameshafanya usaili baadhi ya mikoa .


Ndio nawauliza watuambie wameufanyia wapi ?
 
Ivi issue kama BP wakikupima namba zikiwa juu (elevated) ndo bye bye
Huwez kuconclude status ya BP ya mtu kwa kutumia "blood pressure reading " moja pekee so hawawez kukujudge kwa hilo pekee kuwa ni unfit kama wanafata nn kinachotakiwa katika taaluma za kitabibu.
 
Huwez kuconclude status ya BP ya mtu kwa kutumia "blood pressure reading " moja pekee so hawawez kukujudge kwa hilo pekee kuwa ni unfit kama wanafata nn kinachotakiwa katika taaluma za kitabibu.
Sure chief
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…