Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Mwanasiasa huyo kaongea tu bila kufanya utafiti
Jamaa inaonekana alikatwa kibangala kwenye saili, kaona atumie uvccm kututetea wengine. Jeshi ambalo halinaga mbambamba ni JWTZ kule uwe mrefu, mfupi twendee kikubwa unamaji ya kutosha, umefungua moyo na afya iko njema, ni mwendo wa magogo na mistimu +kubeba dunia juu ya mawe smg mikononi kichwa kwenye jiwe+ viboko vya kutosha.
 
Tulikuwa tunabishana na wadau hapa kwamba mjeda asiye na cheo anaweza msalimia koplo wa police au nyota moja polisi, vile vile kwa vyombo vingine magereza, hii imekaaje wadau
Polisi na JW zipo idara mbili tofauti hivyo rank zao ni tofauti ila zinakuwa equivalent na JW hivyo ata ukiwa na cheo kma ni kidogo kulingana na Cha polisi utamsalimia Wala usiji danganye kuwa eti nyota moja polisi ni ndogo kuliko nyota moja jw
 
Jamaa inaonekana alikatwa kibangala kwenye saili, kaona atumie uvccm kututetea wengine. Jeshi ambalo halinaga mbambamba ni JWTZ kule uwe mrefu, mfupi twendee kikubwa unamaji ya kutosha, umefungua moyo na afya iko njema, ni mwendo wa magogo na mistimu +kubeba dunia juu ya mawe smg mikononi kichwa kwenye jiwe+ viboko vya kutosha.
Oyaaaa mkuu sio poa kabisa daaah
 
Jamaa inaonekana alikatwa kibangala kwenye saili, kaona atumie uvccm kututetea wengine. Jeshi ambalo halinaga mbambamba ni JWTZ kule uwe mrefu, mfupi twendee kikubwa unamaji ya kutosha, umefungua moyo na afya iko njema, ni mwendo wa magogo na mistimu +kubeba dunia juu ya mawe smg mikononi kichwa kwenye jiwe+ viboko vya kutosha.
Pia kazi ni ngumu nyie nendeni popote c muda wa kuchagua kazi mtasota
 
Polisi na JW zipo idara mbili tofauti hivyo rank zao ni tofauti ila zinakuwa equivalent na JW hivyo ata ukiwa na cheo kma ni kidogo kulingana na Cha polisi utamsalimia Wala usiji danganye kuwa eti nyota moja polisi ni ndogo kuliko nyota moja jw
Kwamba mkuu hapa unamaanisha hata private wa jw anaweza msalimia koplo wa magereza sio
 
Kuna kiwanda pale temeke kile cha nondo, yaani kwa siku elfu 15 lakini mziki wake sio poa...nilikimbia kuogopa kutoka unfit maana mijamaaa ina sura ngumu wengine wametoboka, siku ya kwanza kwenda wakanipangia chini kule wanakoyeyusha kwenye uji uji, siku iliyofuata hawakuniona mpaka leo
 
Jamaa inaonekana alikatwa kibangala kwenye saili, kaona atumie uvccm kututetea wengine. Jeshi ambalo halinaga mbambamba ni JWTZ kule uwe mrefu, mfupi twendee kikubwa unamaji ya kutosha, umefungua moyo na afya iko njema, ni mwendo wa magogo na mistimu +kubeba dunia juu ya mawe smg mikononi kichwa kwenye jiwe+ viboko vya kutosha.
Jw kumbe kuna viboko
 
Back
Top Bottom