Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Afande veno.. ruti embakasi, magagula fatiki ya kuzima moto. [emoji38][emoji38]
Kwata lina pigwa usiku huku iveco imewashwa taa full

Prv Milito na somo la Uvumilivu
Prv Asa Mwite huyo Mungu wako aje akuokoeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Prv pilato mzee wa kupima joto la ardhii
Prv manyama anakwambia iyo rutmach mtatembea mpaka pumbu zipasuke[emoji28][emoji28][emoji28]
Alafu kulikuwa na prv 1 iv anakwambia kuruti mnataka pima uzito wa pumbu zangu mjue zina gram ngapi tuonane baadae..
Mlale kikosi kazi big upcomrd..
Hahahahahaa[emoji1787][emoji1787] nlichogundua vikosini humu private ndio wanaaa sn
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtu Kaloa baada ya dakik 5 anaanza kusinzia,kuruta mdudu
Oyaaaa sio poa kaka unafikiri ukipigwa nua ndo utakaa macho yaaani ni kama wamekuzidishia usingizia vile huchukui hata dakika 10 unalala alafu upate kisehemu cha kuegemea vizuri
 
Haha eti kamuulize Magufuli daah sawa mkuu

Haya majeshi yana seniority lakini

Yani kumfananisha nyota tatu wa JWTZ na nyota tatu wa PT, UT, MT na ZT tunadanganyana asee
Hahahaaa kuna siku kipindi nipo kuruta wa jkt kuna jamaa akamuuliza swali sir major "kwamfano WO2 wa jeshi akikutana na afisa wa polisi inabidi amsalimie" Yule sir meja akamwambia kama una shida ofisini kwake we msalimie tena kwa unaa.
 
Hahahahhaha mwanangu nimejikuta nacheka, yaan kule usingizi hauishagi hata kidogo, mwamba mmoja kipindi cha mapumziko ya kwata ile tano, tukaenda kulala juani uwanjani, filimbi inapigwa jamaa anakoroma peke yake, maprivate wakaenda kumpiga maji ndoo ya kwanza mwamba bdo kalala
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huyu alizimia na jua baba,kurudi ni mdudu hata alale vpi banzi moja tu au nua ya maan anakurupuka gafla[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahahahaha kuruti mdudu wew yeye anapenda kula na kulala tu. Wazee wa kubasti.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kubasti ilo neno nimekumbuka D coy yetu ilikuwa ni mafundi wa kubasti 839kj
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kubasti ilo neno nimekumbuka D coy yetu ilikuwa ni mafundi wa kubasti 839kj
MZee wa makuyuni kwa mama Regina Matina.

Ntakipiga ruti ya kwa Raiboni
Au nikupige vyama vingi.
 
Raisi kutokuwepo kwenye mafunzo ya nyota moja haimaanishi kuwa basi hawacommission wote. So kwa kuwa Raisi alienda kwenye mahafali ya askari wa uhamiaji na hakwenda CCP basi askari wa uhamiaji wana hadhi kubwa kuliko wengine? Uwepo wa Raisi sehemu fulani huwa determined na ratiba yake ambayo huwa inapangwa mapema kabisa tangu mwaka unaanza unless yeye mwenyewe ndio avunje.

Nyota moja ya polisi kicheo ina hadhi sawa kabisa na nyota moja ya JWTZ. Haiwezi kuondolewa bila Raisi kuridhia.

Mtafute polisi yoyote hata hawa tu waliotoka juzi tu ccp anayejielewa akufundishe kuhusu " salutation" maana wanafundishwa vizur tu.

Am open for any correction.
Nyota ya polic hata mkuu wa mkoa anakuvua, tofauti na jw.
Kamishen kw jw lzm rais awepo,nimesema lzm awepo,tofaut na police nyota moja anakuvesha hata mwakilishi wake.

Humu jf upo uzi unaeleza hvi v2 wadau walichambua vzr sn. Ukiupitia utaelew vzr.
 
Nyota ya polic hata mkuu wa mkoa anakuvua, tofauti na jw.
Kamishen kw jw lzm rais awepo,nimesema lzm awepo,tofaut na police nyota moja anakuvesha hata mwakilishi wake.

Humu jf upo uzi unaeleza hvi v2 wadau walichambua vzr sn. Ukiupitia utaelew vzr.
Nashukuru. National Defense Act imesema na kisheria POURT lazima awepo. Naendelea kujifunza mkuu.
 
Rais atakosa kote ila hajawahi kukosa Monduli mkuu hata akibanwa na ratiba mahafali yatasubiri hadi awe free aende kwenye mahafali

Kiprotocol nyota moja ya JWTZ si sawa na nyota moja ya polisi, hivi unafahamu mwanajeshi kuanzia nyota moja akitenda kosa uraiani, anatakiwa akamatwe na polisi kuanzia cheo gani

Na je hujiulizi kwanini traffic police huwa hawawazingui wanajeshi wanaovunja sheria barabarani wanawaacha tu
Unanikosha sn mkuu una maswali konki. Jw ndio jeshi Mama hvo hata kwny ranks zao lzm ziwa na hadhi kuliko majeshi mengn.
 
Kuna kiwanda pale temeke kile cha nondo, yaani kwa siku elfu 15 lakini mziki wake sio poa...nilikimbia kuogopa kutoka unfit maana mijamaaa ina sura ngumu wengine wametoboka, siku ya kwanza kwenda wakanipangia chini kule wanakoyeyusha kwenye uji uji, siku iliyofuata hawakuniona mpaka leo
Samahani mkuu naomba maelezo vizuri wa hiki kiwanda kipo temeke sehemu gan,watu wanaingia saa ngap na kutoka muda gani na je ukiingia mzigoni kuna nguo zao za safety wanakupa unavaa au unavaa nguo zako?Nisaidie kwa hayo kaka
 
Hahahaaa kuna siku kipindi nipo kuruta wa jkt kuna jamaa akamuuliza swali sir major "kwamfano WO2 wa jeshi akikutana na afisa wa polisi inabidi amsalimie" Yule sir meja akamwambia kama una shida ofisini kwake we msalimie tena kwa unaa.
Sahihi nilikuwa na mzee wangu moja fulani Col tulienda sehemu alikuwa na shida alikutana na afisa mkuu wa jeshi fulani cheo Yuko chini kwa Yule mzee nilikuwa nae, Col kwa kuwa alikuwa nashida alimpigia salut jamaaa
 
Back
Top Bottom