MOSHI UFUNDI
JF-Expert Member
- Nov 25, 2022
- 526
- 1,222
Kuna shule inahitaji mwalimu wa physics na mathematicsWakuu maisha nikubeti tu.
Nipeni kazi huko mlipo, kama kuna shule inatafuta mwalimu wa Physics naomba mnisanue, iwe o level au A level.
Yaani hata kama ni quantum physics wewe nishtue.
Sio bahati, me ni mfizikia tu bossKuna shule inahitaji mwalimu wa physics na mathematics
EMbu nisaidie tangazo Dm mkuu,Kuna shule inahitaji mwalimu wa physics na mathematics
Kumbe mkuu upo humu toka kitambo.... Tupe mrejesho, mwaka huu ulifanikiwa??Hivyo vyeo polisi si nasikia unaweza sotea zaid ya miaka 10 kufika level ya inspekta tu,..by the way nimepokea simu yao jtatu usaili pale kurasini
Hapana sikwenda kuna mambo yalitokea yalinikwamisha kifamilia. Ila safari hii naweza nikaenda nikikosa UT na JW... PT nimeiweka mwishoni maana nikifikiria course ya mwaka mzima this time sio poa.Kumbe mkuu upo humu toka kitambo.... Tupe mrejesho, mwaka huu ulifanikiwa??
Pamoja sana mkuu..!! Mimi naangalia kwa ukaribu JW, nikikosa naingia PT... UT sina nguvu.!![emoji17]Hapana sikwenda kuna mambo yalitokea yalinikwamisha kifamilia. Ila safari hii naweza nikaenda nikikosa UT na JW... PT nimeiweka mwishoni maana nikifikiria course ya mwaka mzima this time sio poa.
Mzee ngoja nikuchekPamoja sana mkuu..!! Mimi naangalia kwa ukaribu JW, nikikosa naingia PT... UT sina nguvu.!![emoji17]
Mkuu hata kama anaweza ila Jeshi siyo Bashiru wala Assad, afanye hivyo aone reaction yake, yani hapa suala siyo anaweza au hawezi suala ni akifanya hivyo Matokeo yake nini ajaribu tu
Mbna. Mtipidi kozi yao ni miezi sita huku PT ni mwaka,hii ina maana gani masomo na mazoezi kule CCP ni mengi auHapana sikwenda kuna mambo yalitokea yalinikwamisha kifamilia. Ila safari hii naweza nikaenda nikikosa UT na JW... PT nimeiweka mwishoni maana nikifikiria course ya mwaka mzima this time sio poa.
Darasani sana kule . Yani nimeshaambiwa kama nikienda kule nijiandae kabisa kwenda na mavitabu ya sheria kuna ambayo wanatumia kule. Basically kule ni darasani, kwata, mabio na porini miezi miwili.Mbna. Mtipidi kozi yao ni miezi sita huku PT ni mwaka,hii ina maana gani masomo na mazoezi kule CCP ni mengi au
Safi Sana,nimekupataDarasani sana kule . Yani nimeshaambiwa kama nikienda kule nijiandae kabisa kwenda na mavitabu ya sheria kuna ambayo wanatumia kule. Basically kule ni darasani, kwata, mabio na porini miezi miwili.
JWTZ sidhan kama wana masomo ya darasani mengi na pori nadhan sio miez 2 kama PT.
Course nyingine za kujiendeleza kama Corporal course na Sergeant course miezi 3.
Nyota moja wameipa miezi 9 saiv.
Yah hapo pia nadhan watakuw wanaajiri pia mara kwa mara...maana ukiwatoa watu kuwapeleka course nyota moja miezi 9 basi lazima wawepo huku chini wa kuwareplace...so ajira zitaendelea kuwepoSafi Sana,nimekupata
Kwa jeshi gani mkuu? Kwa PT ni kada husika ndio inakuevaluate ila UT ndio nasikia pepa mojaNadhani pepa litakuwa na kuandika tu kama ada ilivyo siku zote
Hawa jamaa nawataman sana . Ulifanya usaili wao?UT mwaka Jana mambo yalikuwa fixed unafanya pepa huku washindi/waliopita PDF yao ilikuwa ishaandaliwa asilimia kubwa
Japo wapo waliopita kibahati sema walibebwa wengiUT mwaka Jana mambo yalikuwa fixed unafanya pepa huku washindi/waliopita PDF yao ilikuwa ishaandaliwa asilimia kubwa