Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Ni maelekezo:askari wa jeshi lolote akiwa na unifomu au akijitambulisha kuwa ni afisa wa jeshi fulani basi anatakiwa kutupiwa taulo hata kama amefanya kosa la barabarani.
 
Muelekeze huyo PGO 102 sijui 104 kama sijakosea imeelekeza vizuri tu swala la saluti,hawajesema eti nyota moja wa jw ni mkubwa kuliko inspector.Saluti itapigwa kwa kuzingatia seniority ya cheo.
 
Haha eti kamuulize Magufuli daah sawa mkuu

Haya majeshi yana seniority lakini

Yani kumfananisha nyota tatu wa JWTZ na nyota tatu wa PT, UT, MT na ZT tunadanganyana asee
Kuhusu comparison ya captain na superintendent of police case ndogo tu wote wananyota tatu ila vyombo tofauti hapa captain atakuwa senior sababu ni kwamba yeye anabebwa na u senior wa jwtz kuwa ndo jeshi mama katika nchi yetu
[emoji847]Ila hili la luten usu kupigiwa saruti na superintendent of police hapana kwakweli msidanganyane ndugu zangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…