Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

lonja za JW hakuna wakuu
Lonja za jw unaweza zipata ila kama upo uraiani na hauna mbanga wenye nguvu kuuubwa aisee ni ngumu kama ngamia kupenya katka sindano, nasema hivyo sababu huyu CDF aliyeingia ni balaa kinoma yani jamaa yupo straight yani ukijichanganya umeliwa.

Mwaka jana vikosini vijana walifanya usahili op mbili i mean makao na samia tena samia wakiwa bado ni kuruti enzi za Mabeyo ila alivyoingia mwamba sasa hivi niongeapo hapa ni kuwa jamaa kaamua kurudisha utaratibu wa kitambo yani subiri mwenzako aondoke ndo na wewe utafata yani samia wanafanya usahili af madogo op mabeyo wamepigwa pending kwanza
 
Lonja za jw unaweza zipata ila kama upo uraiani na hauna mbanga wenye nguvu kuuubwa aisee ni ngumu kama ngamia kupenya katka sindano, nasema hivyo sababu huyu CDF aliyeingia ni balaa kinoma yani jamaa yupo straight yani ukijichanganya umeliwa.

Mwaka jana vikosini vijana walifanya usahili op mbili i mean makao na samia tena samia wakiwa bado ni kuruti enzi za Mabeyo ila alivyoingia mwamba sasa hivi niongeapo hapa ni kuwa jamaa kaamua kurudisha utaratibu wa kitambo yani subiri mwenzako aondoke ndo na wewe utafata yani samia wanafanya usahili af madogo op mabeyo wamepigwa pending kwanza
Ni utaratibu mzuri lakini kwa maoni yangu
 
Ajira za ualimu ndio huwa zinaniacha hoi yani nafasi elfu 9 ila wanaapply watu lefu 60
Tupo wengii mnoo mkuu tatizo masikini tumesoma hii kada kaka na wote tupo tunagangaa njaa tuu wazazi wanatutegemea kuwa ipo siku walau tutakuwa msaada kwao lakini siyo mchezo kaka huu mwaka wa Saba mtaani hali mbaya na huku polisi nikujabahatisha maana Mungu ndo anajua kila kesho ya mwanadamu
 
Back
Top Bottom