Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,549
- 10,995
Bogi gani hilo mkuu??Sawasawa wengi kama sio wote mnapita Kaka..
Ukikosa hapa kuna bogi letu mwezi wa kumi na moja.. Hilo halichagui kikubwa "UHALALI".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bogi gani hilo mkuu??Sawasawa wengi kama sio wote mnapita Kaka..
Ukikosa hapa kuna bogi letu mwezi wa kumi na moja.. Hilo halichagui kikubwa "UHALALI".
Mugamboo wanaruka na kukanyagana.. a.k.a "Security guard"Bogi gani hilo mkuu??
Wote wanasimamaMugamboo wanaruka na kukanyagana.. a.k.a "Security guard"
Tupe lonjaaa mkuuWote wanasimama
Dah!Hivi mfano una vigezo vyote ila shida tuu urefu tatizo [emoji41] maana magereza wanataka futi 5’7 kwa wananume...ukiwa na below ya hapo na vigezo vingine unavyo inamaana unaweza temwa.?
Tupe lonja mkuuNimemfungia ,siko huko mwanangu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Be serious mkuuMugamboo wanaruka na kukanyagana.. a.k.a "Security guard"
Kuna ndugu yangu ni service man 832 KJ Ruvu. Ana elimu ya kidato cha 4. Naskia RPC alikuja kwenye usaili wa Polisi hapo kikosini kwao, dogo ana urefu wa futi 5'4, aliachwa, anasema anasubiri baka halina maelekezo[emoji3]. So bila shaka wanazingatia hiloHivi mfano una vigezo vyote ila shida tuu urefu tatizo [emoji41] maana magereza wanataka futi 5’7 kwa wananume...ukiwa na below ya hapo na vigezo vingine unavyo inamaana unaweza temwa.?
Kuna ndugu yangu ni service man 832 KJ Ruvu. Ana elimu ya kidato cha 4. Naskia RPC alikuja kwenye usaili wa Polisi hapo kikosini kwao, dogo ana urefu wa futi 5'4, aliachwa, anasema anasubiri baka halina maelekezo[emoji3]. So bila shaka wanazingatia hilo
Yeah, dogo bado yupo camp mpaka leo, bado hajamaliza mkataba. Aliingia kule 2019, ni OP Makao MakuuUyo ndug yako bado yupo kambini..?
Kanyaga twende popote kambi.[emoji23][emoji23][emoji23]Be serious mkuu
Well and guwd..Kuna ndugu yangu ni service man 832 KJ Ruvu. Ana elimu ya kidato cha 4. Naskia RPC alikuja kwenye usaili wa Polisi hapo kikosini kwao, dogo ana urefu wa futi 5'4, aliachwa, anasema anasubiri baka halina maelekezo[emoji3]. So bila shaka wanazingatia hilo
Hivi na uhamiaji limeshakuwa Jeshi Kama Jeshi la Polisi au la wananchi au la magereza?Hivi kwanini uhamiaji hawajatoa kigezo ya urefu..?? Anejua sababu atueleweshe..
Well and guwd..
Mimi nashauri kwa ambaye yuko mtaani, ana cheti cha Jkt.. aombe tu regardless ya urefu wake.
JW inakuja, ila kwanza Anza na hii ambayo iko waziwazi..
"Ukiona Target kwa wakati wako Endelea"...
Yeah, dogo bado yupo camp mpaka leo, bado hajamaliza mkataba. Aliingia kule 2019, ni OP Makao Makuu