Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Mimi sina astashahada
Ooho, samahani kaka unajua nyie wasomi mko makundi mengi tofauti na sisi wa darasa la saba afu na kwa kiswahili mara stashada mara sijui astashahada tunachanganya...

Nilikua nauliza ninyi wamekagua Gpa au vyeti?

Awiiiih.....
 
Ooho, samahani kaka unajua nyie wasomi mko makundi mengi tofauti na sisi wa darasa la saba afu na kwa kiswahili mara stashada mara sijui astashahada tunachanganya...

Nilikua nauliza ninyi wamekagua Gpa au vyeti?

Awiiiih.....

HAWATIZAMI GPA...ndio maana kwenye viambatanisho wivoviorodhesha hawakusema watu waweke TRANSCRIPT...bali wamesema waweke VYETI.
 
Ooho, samahani kaka unajua nyie wasomi mko makundi mengi tofauti na sisi wa darasa la saba afu na kwa kiswahili mara stashada mara sijui astashahada tunachanganya...

Nilikua nauliza ninyi wamekagua Gpa au vyeti?

Awiiiih.....

Hata kwenye usaili hawajakagua gpa..
 
Hv inawezekana kila mwaka kuajiri watu wa usalama au kuna interval ndefu????
Kuna vifo, kuna kutemwa, kuna kustaafu n.k

Nadhani wanaaangalia uhitaji, kitambo enzi za JK wa pili karibu kila mwaka madude yalikua yanajipa..
 
Sawasawa wengi kama sio wote mnapita Kaka..

Ukikosa hapa kuna bogi letu mwezi wa kumi na moja.. Hilo halichagui kikubwa "UHALALI".

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]au sio[emoji41]
 
Hivi lile bogi watu wanaenda kozi kwa muda gani.?
Hahaha

Hilo mara nyingi 3-12.
Inategemea mnaoenda kozi mmetoka kwenye misingi gani, na uhitaji wa wakati huo na aina ya kozi... Ila standard huwa miezi 5-6.

Nasikia wanakeshaga wale karibia mwezi.. twimbili lake usiombe Koplo atoke Mara au zenji (Wanakaza).
 
cc15bfeb-6253-436b-ac32-6ebd0701a334.jpg

UHamiaji tanzania
 
Kuna vifo, kuna kutemwa, kuna kustaafu n.k

Nadhani wanaaangalia uhitaji, kitambo enzi za JK wa pili karibu kila mwaka madude yalikua yanajipa..
Sema naiman Samia hili apate kura 2025 atatumia njia hii ya kumwaga ajira raia tumkubali 2025election
 
Back
Top Bottom