Mimi sina astashahadaNyie wa astashahada wameangalia GPA zenu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi sina astashahadaNyie wa astashahada wameangalia GPA zenu?
Ooho, samahani kaka unajua nyie wasomi mko makundi mengi tofauti na sisi wa darasa la saba afu na kwa kiswahili mara stashada mara sijui astashahada tunachanganya...Mimi sina astashahada
Ooho, samahani kaka unajua nyie wasomi mko makundi mengi tofauti na sisi wa darasa la saba afu na kwa kiswahili mara stashada mara sijui astashahada tunachanganya...
Nilikua nauliza ninyi wamekagua Gpa au vyeti?
Awiiiih.....
Ooho, samahani kaka unajua nyie wasomi mko makundi mengi tofauti na sisi wa darasa la saba afu na kwa kiswahili mara stashada mara sijui astashahada tunachanganya...
Nilikua nauliza ninyi wamekagua Gpa au vyeti?
Awiiiih.....
HAWATIZAMI GPA...ndio maana kwenye viambatanisho wivoviorodhesha hawakusema watu waweke TRANSCRIPT...bali wamesema waweke VYETI.
Kuna vifo, kuna kutemwa, kuna kustaafu n.kHv inawezekana kila mwaka kuajiri watu wa usalama au kuna interval ndefu????
Sawasawa wengi kama sio wote mnapita Kaka..Hata kwenye usaili hawajakagua gpa..
Sawasawa wengi kama sio wote mnapita Kaka..
Ukikosa hapa kuna bogi letu mwezi wa kumi na moja.. Hilo halichagui kikubwa "UHALALI".
Sawasawa wengi kama sio wote mnapita Kaka..
Ukikosa hapa kuna bogi letu mwezi wa kumi na moja.. Hilo halichagui kikubwa "UHALALI".
HahahaHivi lile bogi watu wanaenda kozi kwa muda gani.?
Jeshi gani anaomba kaka?Mkuu Mtumaini Mungu hivi umri ni muhimu sana au? Dogo hapa Ana 27 anawaza
Hili la uhamiajiJeshi gani anaomba kaka?
Elimu?Hili la uhamiaji
Hata Mimi nimemshauri hivyo, Ana diploma!Elimu?
Mimi nashauri aombe, kama Hana fani atumie cheti cha kidato cha nne pekee.. Mungu Mkubwa, Atapata.
Kama Diploma yake inahitajika aweke, Atapata.Hata Mimi nimemshauri hivyo, Ana diploma!
Sema naiman Samia hili apate kura 2025 atatumia njia hii ya kumwaga ajira raia tumkubali 2025electionKuna vifo, kuna kutemwa, kuna kustaafu n.k
Nadhani wanaaangalia uhitaji, kitambo enzi za JK wa pili karibu kila mwaka madude yalikua yanajipa..
Kumbuka kuna kigezo cha JKT/JKUHata Mimi nimemshauri hivyo, Ana diploma!