Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Mnao anza saili leo , toeni lonja wakuu.

Muumba wa mbingu na Ardhi awe pamoja na ninyi.
 
Tehama ofisi zao ziko separate na majengo ya PT kule Kurasini wao ni ofisi ukipita unaweza jua ni ofisi binafsi.
 
Wakuu mm naomba kuuliza ktk mshahara wa polisi wa form 4 hiv take home inakua bei gan na baada ya marupurupu anabakia na ngap na ukijuumlish na zile za lindo maan nimeambiwa PT cku iz ni kuzur mno
 
Wakuu mm naomba kuuliza ktk mshahara wa polisi wa form 4 hiv take home inakua bei gan na baada ya marupurupu anabakia na ngap na ukijuumlish na zile za lindo maan nimeambiwa PT cku iz ni kuzur mno
Ingia chomboni kwanza mjuba......habar za mishahara ya watu utazikuta hukohuko πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…