Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

MAMBO YA KUZINGATIA WAKATI TUNASIKILIZIA POST ZA POLISI NA UHAMIAJI [emoji116]

1. Kunywa Maji ya kutosha, usipende vitu vya sukari (Soda/Juice) ikibidi ufanye dilution kwa ajili ya kupunguza BLOOD PRESSURE.

2. Fanya mazoezi ya kukimbia kwa ajili ya Stamina za miguuni ili uwe sawa.

3. Fanya mazoezi ya Mikono kwa ajili ya kujiandaa na PUSHUP, ili kuongeza nguvu za mikononi.


ALL THE BEST Comrades.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…