Azizi Walter
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 221
- 139
Hata wenye maelekezo wana vigezo vyote hakuna waliopitishwa kimagumashi hivyomkuu kulikua na ukaguzi wa kutosha ,stage kama tatu hvi then ndipo tulipewa namba za kupigia pepa. labda kama hao watu waliingia kwa maelekezo maalumu!kutoka juu
hapa nikusubiria pdf tu ,hsa hsa trh 4-5Hata wenye maelekezo wana vigezo vyote hakuna waliopitishwa kimagumashi hivyo
Ni kweli lazma uwe na vigezo vingi kidogo hata kama huna vyote hii inakusaidia kuzama kirahisi hata kama una maelekezo..Hata wenye maelekezo wana vigezo vyote hakuna waliopitishwa kimagumashi hivyo
subiria pdf mkuuWakuu habariiii,
Hivi Kuna taarifa za baadhi kupigiwa simu UT na waripoti kesho chuo, zinaukweli wowote???
Hawawez kureport bila pdf kutoka mkuuWakuu habariiii,
Hivi Kuna taarifa za baadhi kupigiwa simu UT na waripoti kesho chuo, zinaukweli wowote???
Waliopo humu wanasubiri maelekezo...usaili unafanyika makambiniHIV kuna waliofanya usaili jwtz humu ndani
nimeuliza wapo ambao wamefanya kutoka humu ndani yaan wametokea kitaaWaliopo humu wanasubiri maelekezo...usaili unafanyika makambini
Ukiwa uraiani unaweza fikiri polisi hawaendi kwenye mission za nje. Ila ukifika kule utajua na utafundishwa kuwa PT wanahusika kulinda amani na mission nyingi tu za kimataifa. Kuna some utafundishwa kabisa la kuhusu Peace Keeping.
Braza unakuw mgumu sana kuelewa 😂😂umeambiwa hapo juu kuwa wanaotoka kitaa wanaenda kwa maelekezo yaani kureport tu ww unauliza maswala ya usailinimeuliza wapo ambao wamefanya kutoka humu ndani yaan wametokea kitaa
Anavyoenda police anaenda kama police force na sio military force kaka, hata last week police wametoka kwenda...usije uka contradict majukumu ya tpdf na police force Tanzania hata hayafanani kaka.....Ukiwa uraiani unaweza fikiri polisi hawaendi kwenye mission za nje. Ila ukifika kule utajua na utafundishwa kuwa PT wanahusika kulinda amani na mission nyingi tu za kimataifa. Kuna some utafundishwa kabisa la kuhusu Peace Keeping.
Hajafananisha majukumu ila wote wanashiriki ulinzi wa amani.Anavyoenda police anaenda kama police force na sio military force kaka, hata last week police wametoka kwenda...usije uka contradict majukumu ya tpdf na police force Tanzania hata hayafanani kaka.....
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
ah hapo nimeelewa ngojea nisubiri maelekezo basi nahisi mwezi huu tunaweza tukaingia mzigoniBraza unakuw mgumu sana kuelewa 😂😂umeambiwa hapo juu kuwa wanaotoka kitaa wanaenda kwa maelekezo yaani kureport tu ww unauliza maswala ya usaili
SahihiHajafananisha majukumu ila wote wanashiriki ulinzi wa amani.
FPU hawa ni polisi waliofundishwa combat kwahiyo wakiwa huko kazi zao hazitofautiani sana na zile za jeshi
IP(Individual/international police)hawa kazi zao huko mission ni za kawaida kama zile wafanyazo polisi wavaa kaki wakati wa amani.
NB:
IP sijamaanisha kuwa ni polisi asiye na mipaka 'Interpol'.
Upuka matapeliHawawez kureport bila pdf kutoka mkuu
Achana na maneno ya vigengeniKuna watu hawana hadi cheti cha JKT na wamefanya usaili UT
Kwamba unaingia kwa kutokea kitaa direct, kama umetoa pesa umepigwa peupeeah hapo nimeelewa ngojea nisubiri maelekezo basi nahisi mwezi huu tunaweza tukaingia mzigoni
una mkatisha tamaa mwambaKwamba unaingia kwa kutokea kitaa direct, kama umetoa pesa umepigwa peupee