Azizi Walter
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 221
- 139
Naam si karibu na Waswanuwatu wenye fani za ICT,mechanical,drivers majina hya kufika hata 100 mkuu coz waliitwa pale mbele ili wakafanye usahili wa vitendo ut-uzunguni. mi nahis mchakato uko slow tu safari hii
Nawewe upo wapi?
Majina yako tayari kitambo mkuu mfwende kilichobaki ni kupost tuusio kawaida yao mkuu,huwa ni wiki moja tu,saiz wamevuta tunakaribia wiki lapili. mi nadhani wataachia weekend
Wapost tujue moja mkuuMajina yako tayari kitambo mkuu mfwende kilichobaki ni kupost tuu
una maana gani afsaNaam si karibu na Waswanu
UT-Uzunguni ulimaanishaje ndugu maana nilihisi umeitaja UT-Uzunguni iliyopo Dodomauna maana gani afsa
nilimanisha makao makuu ya uhamiaji dodomaUT-Uzunguni ulimaanishaje ndugu maana nilihisi umeitaja UT-Uzunguni iliyopo Dodoma
Kumepoa mno na hapa watu hawajaenda kozi PT, UT, PCCB,
usife moyo champYani mimi nilivyokuwa na gundu naweza kwenda usaili wanaotakiwa watu kumi tukawa tupo kumi na Moja huyo mmoja atakayebaki Anaweza akawa ni Mimi [emoji2960]
Daah, umenichekeshaYani mimi nilivyokuwa na gundu naweza kwenda usaili wanaotakiwa watu kumi tukawa tupo kumi na Moja huyo mmoja atakayebaki Anaweza akawa ni Mimi [emoji2960]
[emoji23] [emoji23]Yani mimi nilivyokuwa na gundu naweza kwenda usaili wanaotakiwa watu kumi tukawa tupo kumi na Moja huyo mmoja atakayebaki Anaweza akawa ni Mimi [emoji2960]
Ngoja tujaribu tu tuone...Ivi pccb Mtu unaweza toboa bila mbanga kweli ? Maanake kuna za chini chini nilipata kwamba hizo nafasi zina connection sana na Ikulu
Kaza moyo bro one day yesYani mimi nilivyokuwa na gundu naweza kwenda usaili wanaotakiwa watu kumi tukawa tupo kumi na Moja huyo mmoja atakayebaki Anaweza akawa ni Mimi [emoji2960]
Kweli Asee .Lets wait for
Dah yaan mkuu umeandika kwa lugha rahisi lakin nimeonja maumivu yako, Tuwe na Imani kuwa maisha yetu tayari yalishapangwa na Mungu hakuna kinachotokea kwa bahati mbaya... Ni Mungu anaruhusu ili kusudi lake litimie....Yani mimi nilivyokuwa na gundu naweza kwenda usaili wanaotakiwa watu kumi tukawa tupo kumi na Moja huyo mmoja atakayebaki Anaweza akawa ni Mimi [emoji2960]