Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Maana hz mambo zinavyoenda kimya kimya......au ndo tuliozidi umri hatutakiwi tumetuma maombi bure kubabeki
 
Baba kantuma hawana wasi wasi hata usaili wengine hawakufika wanasubiri muda wa kozi tu
 
Kwa mim navy jua private wa magereza saiv anapokea 450k au 350k kitu kama icho navy kumbuka then mtu ambae ana diploma anachukua laki 7 mana kuna mamdog wangu now anapokea laki 7 mana saiv ana diploma ya education
Salary scale wizara ya mambo ya ndani zinalingana na zinalipwa kutokana na scale za serikali kielimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…