Xmonster
JF-Expert Member
- Apr 22, 2020
- 1,644
- 2,382
Mhhh hizo siasa nadhani wazugaji tu hao,hizo tume kama zipo zinakula hela tu ya bure,baba kantuma wanapeta kila sikuDcea,takukuru,magereza na polisi zimeundiwa tume maalumu kutathmini ufanisi na utendaji wao maana imeonekana hawako fair kiutendaji so hii inaweza wapa uoga na wakawa fair safari hii kwenye ajira wakuu