Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Dcea,takukuru,magereza na polisi zimeundiwa tume maalumu kutathmini ufanisi na utendaji wao maana imeonekana hawako fair kiutendaji so hii inaweza wapa uoga na wakawa fair safari hii kwenye ajira wakuu
Mhhh hizo siasa nadhani wazugaji tu hao,hizo tume kama zipo zinakula hela tu ya bure,baba kantuma wanapeta kila siku
 
Kuna mwanangu yupo MT kaniambia ni laki 5 kwa mwezi, warder, kuna posho mia 3, na ration mia 3 baada ya miezi 3......labda kama atakuwa kanidanganya
Haya mambo Ingia chomboni ndio utajua otherwise utaishia kuspeculate tu mishahara ya watu na haikusaidii chochote
 
Kuna mwanangu yupo MT kaniambia ni laki 5 kwa mwezi, warder, kuna posho mia 3, na ration mia 3 baada ya miezi 3......labda kama atakuwa kanidanganya
Hajakudanganya,isipokua basic yao nikama 490k hivi baada wa makato wanachukua 420k hivi....plus 300k kila mwez plus 300k kila baada ya miez3
 
Embu tuwekana sawa hapa kama mwalimu anapewa 700k na anakatwa mkopo na kila kitu anachukua 500k+, inakuwaje wa 800k plus nae achukue 500k +.
Hela ya NSSF,PAYE na HESLB unakatwa kulingana na salary yako mfano HESLB wanakata asilimia 15 ya salary kwahyo kiwango watakachokata mtu mwenye 800k ni tofauti na 700k
 
Private wa kule take home yao haizid 550k,then jumlisha na hizo posho posho,tena wao ration ya chakula 300k wanalipa yote kwa mzabuni cash....
Isipokua wale wana posho za pango,maji,umeme

Then hawana bima ambayo kwa wizara ya ndani ni free(ya utumishi unaongeza wategemezi) ila kwa kule naskia wana fomu zao special sjui za matibabu japo sijazijua vizuri

MIMI NAELEWA HIVYO
Wapo chini ya wizara moja ZT,MT,UT na PT
Marekebisho yaliyofanywa miaka ya juzi yaliweka usawa
 
SIO KWELI........ utofauti upo,jw wamewazid wizara ya mambo ya ndani
Jamaa amesema PT, ZT, MT na UT wapo wizara ya mambo ya ndani na amesema scale zao zilirekebishwa hapo kipindi Cha nyuma.

JW ni wizara ya Ulinzi sasa unataka jamaa angesemaje, wizara ni tofauti so scale zitakuwa tofauti. Mnabishana vitu vidogo sana ambavto hata hamjafika hatua za kufika huko.
 
Jamaa amesema PT, ZT, MT na UT wapo wizara ya mambo ya ndani na amesema scale zao zilirekebishwa hapo kipindi Cha nyuma.

JW ni wizara ya Ulinzi sasa unataka jamaa angesemaje, wizara ni tofauti so scale zitakuwa tofauti. Mnabishana vitu vidogo sana ambavto hata hamjafika hatua za kufika huko.
Kama amemaanisha hivyo its okay...
 
Nyie madogo mambo ya Mishahara, stahiki na mazaga zaga yote mtayajua huko huko... Nyie tulieni muingie kwanza mzigoni vitu vingi sana mtavijua kulingana na muda ukifka.

Hapa kila mmoja ataishia kusema Mwanangu anasema hv na vile ... Mshahara wa mtu na stahiki zake ni siri yake yeye na mwajiri wake...

Haina shida lakini si bado mko uraini
muda ukifika mtakua wazuri tu .
 
Pt kuna vitengo kila mwezi hukosi laki 3+ nje ya mshahara na posho kwahiyo hao wa taasisi nyingine(TISS,Jw,Pccb..)mkijumuisha pato la mwezi mnaweza kuwa sawa au kuwapita kabisa hii namaanisha kwa wale wenye viwango sawa vya elimu.
 
Pt kuna vitengo kila mwezi hukosi laki 3+ nje ya mshahara na posho kwahiyo hao wa taasisi nyingine(TISS,Jw,Pccb..)mkijumuisha pato la mwezi mnaweza kuwa sawa au kuwapita kabisa hii namaanisha kwa wale wenye viwango sawa vya elimu.
Acha kufananisha TISS na idara nyengine aisee..... wapo vizur mnoo
 
Kama wanaolinda bank wakuu kwa Mwez wanakuja lak 3 ukitoa mishahara yao mbon PT kuzuri sana kuliko hata huko jwtz
Wanasema polisi Wa LINDO kama benki anapewa 10,000/= per day so kama unasimama LINDO wiki 2 una 140,000/= out of salary na out of allowance zao.

Same na Polisi (FFU) wakienda kwenye misafara ya viongozi wanapewa Posho Yao per day.
 
Back
Top Bottom