Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Police watakujaje na watu hawajamaliza Coz mwezi wa nane nafikiri mpka
Hio December cyo kuja tena mkuu nimekusudia kumaliza mafunzo ila hio lonja ya kuja Mwez wa nane naomb nieleweshe nianze kutafut mbanga na pengin cyo police tu hata uhamiaj wanaweza kuja ten
Saaa mim naongea kutokana navyo jua na nilivyo ambiwa mimi niwaombe tuuh tuwe wavumilivu mana watu ambao yani ebu tujue ivyo pia nawaomba watu ambao mnakuja DM mimi sio mtoa ajira au nahusika ila nimewaambia kama ndugu zangu japo siwajui ila nimeona niwaambie ili msikate tamaa coz naona wengi mumekata tamaa umu ndani mii naomba msife moyo
 
Saaa mim naongea kutokana navyo jua na nilivyo ambiwa mimi niwaombe tuuh tuwe wavumilivu mana watu ambao yani ebu tujue ivyo pia nawaomba watu ambao mnakuja DM mimi sio mtoa ajira au nahusika ila nimewaambia kama ndugu zangu japo siwajui ila nimeona niwaambie ili msikate tamaa coz naona wengi mumekata tamaa umu ndani mii naomba msife moyo
Na ninavy waambia kuhus mwezi wa nane nikwel na kama ikitokea sio kweli basi labda kuwe kuna covid tenna ila lazima waje weken icho pia tunzeni afya zenu
 
Na ninavy waambia kuhus mwezi wa nane nikwel na kama ikitokea sio kweli basi labda kuwe kuna covid tenna ila lazima waje weken icho pia tunzeni afya zenu
Nadhan kuna mkanganyiko hapa..wapo waliolewa hiyo mwezi wa nane ni PT...wengine wameelwa ni JWTZ. Kama ni PT hakuna kitu kama hicho kwa sababu course itakuw bado haijqisha na inategemewa kuwa ndefu
 
Nadhan kuna mkanganyiko hapa..wapo waliolewa hiyo mwezi wa nane ni PT...wengine wameelwa ni JWTZ. Kama ni PT hakuna kitu kama hicho kwa sababu course itakuw bado haijqisha na inategemewa kuwa ndefu
Upo sahih mkuu mm nimesema hivo hivo PT hawawez kuja mwezi wa 8 wakat Coz itakua inaendelea hio lonja ina mashaka kidogo labda mwakani
 
Upo sahih mkuu mm nimesema hivo hivo PT hawawez kuja mwezi wa 8 wakat Coz itakua inaendelea hio lonja ina mashaka kidogo labda mwakani
Inawezekana labda wakati makamanda wanamalizia kozi wengine wanafanyiwa usahili mtaani then hadi wanaapa wengine wanaenda mbona easy tu.
 
Back
Top Bottom