Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Watu tunashindwa kujua maana ya lonja...
Inaweza ku happen au ikapigwa azwea...

Embu piga mahesabu Toka ajira ya PT itangazwe December had watu kuja kupiga course inachukua almost kukaribia 3 months... Jambo ambalo hata wakitangaza mwezi wa nane had kuja kufika ccp bac kukaribia wale wa awali kumaliza...
 
Text yangu ya kwanza kabisa nilisema kua mwezi wa nane JW wanakuja ipo hivi hii kuhusu JW wanakuja mwezi wa nane sio lonja hii ni habari ambayo ipo sehemu husika na ishapagwa ikitokea kama hawajaj basi kuna shida kitaifa pia nikasema kua nimesikia lonja ya PT kwa mwezi wa nane ila sina wakika mana iyo ni lonja ila kuhusu JW wanakuja mwezi wa nane saa sijajua watu hamjaelewa nini apo
 
Watapita makambini au had wa uraiani... Au Bado haijajulikana
 
Msata nasikia wamepatikana Unfit 109 tena Jana wamerudishwa Home, vijana wa kimasikini tuna wakati mgumu sana😭
 
Msata nasikia wamepatikana Unfit 109 tena Jana wamerudishwa Home, vijana wa kimasikini tuna wakati mgumu sana[emoji24]
Inaumiza unapata chance UT, JW, MT, PT, ZT Unaenda kozi vzuri tu then after few months ndani ya kozi unaambiwa wewe ni UNFIT hauwezi kuendelea na kozi Tena.

Just imagine umepiga kozi 4-6 Months then unaambiwa uende nyumbani, inaumiza katika harakati za utafutaji Kuna mengi yanatokea.

Tuendelee kupambana kitaa na chance ikitokea kwenda Majeshini it's better kwenda kujaribu. Al Always tuendelee kupambana huku ukisubiria PDF za PT, MT na UT, usiweke HOPE KUBWA sana kupata hizi Chance usije ukaumia usipokuwepo kwenye PDF.

Just trust in God - Comrade's I salute you [emoji120].
 
Sahihi mkuu Mapambano yaendelee
 
Msata nasikia wamepatikana Unfit 109 tena Jana wamerudishwa Home, vijana wa kimasikini tuna wakati mgumu sana[emoji24]
Hakuna cha UNFIT hapo pale msata kuna ushenzi na uduanzi mwingi sana unafanyika Rushwa imekua kubwa now watoto wa vigogo ndo wanajaa JW saizi Sijui ma IO wako wapi cjui wanafanya kazi gani now ni.miyeyusho mingi sana yani kunatia hasira pale yule mkuu wa ile kambi afai hata kidogo rushwa tupu tunatengeneza Jeshi la hovyo sana yani inatia hasira vijana wanarudishwa tuu home bila sababu ivi huyu General yuko kweli mbona afatilii haya mambo we Kanali Mwale nenda pale msata mkajionee nyny si ndoo wasaidizi wa General ebu fatilie uchafu unao endelea pale.
 
Kwamba watu Wa kawaida wasio na refa wanapewa UNFIT Ili watoto Wa vigogo waingie katikati ya koz???
 
Kwamba watu Wa kawaida wasio na refa wanapewa UNFIT Ili watoto Wa vigogo waingie katikati ya koz???
enzi za zamani Jeshi lilikua uhakika sana kuchuchukua kuliko vyombo vingine watu ilikua sifa damu ,ila sahizi sijui kaingia mdudu gani, mimi nilishuhudia majina yetu ya kibogi fulani yakipelekwa makao makuu msalato ila majina yaliyorudi yakaitwa ni ya watu waliokuwa wanafanya kazi rest house za wa kuu na uraiani, Jeshi hapana aisee
 
Sijaelewa hapo mtu anatolewa katikati ya kozi n kuambia n UNFIT kwan tokea mwanzo akupimwaa???
 
Sijaelewa hapo mtu anatolewa katikati ya kozi n kuambia n UNFIT kwan tokea mwanzo akupimwaa???
Hawa wanaowaita Waasi nahisi bado wanadukuduku nao tu Kiongozi
Maana Hawa mwanzo wanarudishwa walikuwa 850 wakapimwa Mara ya kwanza wakabaki 600 na ushee hivi sahivi Tena wamepimwa wamebaki 500 bado Tena nahisi watapimwa pamoja na wazarendo wanotoka vikosini nahisi mpaka wataisha kwa namna hii huenda kitendo cha kuitwa Waasi bado hawana Imani nao vile ni shinikizo la viongozi wa Dini kwa Rais tu enzi zile wanarudishwa ila hawakuwataka kwahyo wanawataftia visabbabu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…