Chui wakijani
Senior Member
- Jan 8, 2023
- 155
- 154
Yeah nikwel zinakua ngumu ila ndo kujipanga mii nacho sema tuuh msivunjike moyo mambo bado sanaa pia mamb mazuri ndani ya mwaka huu yapo mengi sana mana mwezi wa tano serikari inafunga hesabu zake so mjiandae ajira bado zipoEndelea kutoa lonja mkuu especially za mambo ya ndan za JW ni ngumu ukiwa uraian
Mkuu nilikuuliza ila hukufanikiwa kunijibu.....hiyo tar 22 uliyosema watu wata report ni kwa upande wa PT au UT au wote kwa pamoja?Yeah nikwel zinakua ngumu ila ndo kujipanga mii nacho sema tuuh msivunjike moyo mambo bado sanaa pia mamb mazuri ndani ya mwaka huu yapo mengi sana mana mwezi wa tano serikari inafunga hesabu zake so mjiandae ajira bado zipo
Ni mwendo wa ndoige tu aiseeWatu wa MT leteni lonja basi Maafande
Ni mwendo wa ndoige tu aisee
Hawa watafyekwa haswaa hadi waje wavae kitenge watabaki hata 100 tu, awamu ya kwanza Mafinga paranja lilipita na watu 179 kati ya watu 853 tena huko msata wamefyeka tena hao ni HatareeInaumiza sana Kamanda yaani Tena naskia ndo wale Wajenzi walioitwa Waasi wakarudishwa
Na huo ndio UKWELI kati ya majeshi yote JW ndio kuna UHUNI na USHENZI kuliko majeshi pemgine yote jasa miaka ya hivi karibuniKwamba watu Wa kawaida wasio na refa wanapewa UNFIT Ili watoto Wa vigogo waingie katikati ya koz???
Jana Mwanza Wamepimwa Urefu na Vyeti ila lonja iliyopo wanachukua watu 10 tu mkoaWatu wa MT leteni lonja basi Maafande
DahJana Mwanza Wamepimwa Urefu na Vyeti ila lonja iliyopo wanachukua watu 10 tu mkoa
Jana Mwanza Wamepimwa Urefu na Vyeti ila lonja iliyopo wanachukua watu 10 tu mkoa
Hawazidi 500 kwa lonja zilizopo na vikosini Pia wanachukua wafike hio idadi!!Kwani MT watachkua askari wangap kitaifa ?
ππππππ
Duuuh aisee Hv mambo gan yanaweza pelekea mtu kuwa unfit katikati ya kozi ukiachilia maswala Labda ya magonjwa?.......Msata nasikia wamepatikana Unfit 109 tena Jana wamerudishwa Home, vijana wa kimasikini tuna wakati mgumu sana[emoji24]
hutolewi unfit kukishaanza kozi, Unfit ni kipindi cha uzalendo yaan mnakaa jeshini hata miezi mitatu hamjaanza mafunzo halafu siku kama ivyofika tuu ya kufungua kozi ndio mchujo hapo mzee baba unasubiri tuu kupewa gonjwa lako urudi nalo kwenu[emoji23][emoji23]Duuuh aisee Hv mambo gan yanaweza pelekea mtu kuwa unfit katikati ya kozi ukiachilia maswala Labda ya magonjwa?.......
Kwenye intake ya PT iliyopita kuna issue ya homa ya ini ilirudisha watu kadhaa nyumbani na wengi wao ni kama walikuw wanatokea kambi moja ya jkt...inaonekana waliambukizana huko. Ila kiukweli waliohusika na ujenzi ile kazi iliwaathiri maana nimekutana na vijana wanashida sana ya vifua na migongo...inaonekana walipiga kazi haswa.Duuuh aisee Hv mambo gan yanaweza pelekea mtu kuwa unfit katikati ya kozi ukiachilia maswala Labda ya magonjwa?.......
Matumaini yanapotea,Sasa km UT mpaka leo kimyaYaan huku kumepoa hatari, ile morali kama inaanza kupotea wakubwa