tutalima na kufubaa sana watoto wa jamii za kikulima, but tusife moyoMajeshi miyeyusho sana , wanajibaraguza tu ,hizo nafasi wanaziuza , mimi kuna mtu yuko huko pwani ,ndio nyumbani kwao aliniambia mwezi kama. Mmoja na nusu umepita sasa kwamba kuna watu wanatembeza si chini ya milioni mbili na nusu humo JWTZ kuhonga ili kupata nafasi ,na yenyewe ni bahati ,unaweza toa na kudhulumiwa vile vile ,tangia hapo nikaamini ,kuwa kuna Magumashi mengi sana humo atleast magereza maana watu wengi hawapapendi.
Rushwa ni adui wa haki hasa kwa masikini , ni mtihani haswa
Yaani katika majeshi yote mtu akikwambia umpe hela akuingize jwtz kimbia .. tena kimbia kwa spidi yaani usije liwa pesa yakoMajeshi miyeyusho sana , wanajibaraguza tu ,hizo nafasi wanaziuza , mimi kuna mtu yuko huko pwani ,ndio nyumbani kwao aliniambia mwezi kama. Mmoja na nusu umepita sasa kwamba kuna watu wanatembeza si chini ya milioni mbili na nusu humo JWTZ kuhonga ili kupata nafasi ,na yenyewe ni bahati ,unaweza toa na kudhulumiwa vile vile ,tangia hapo nikaamini ,kuwa kuna Magumashi mengi sana humo atleast magereza maana watu wengi hawapapendi.
Rushwa ni adui wa haki hasa kwa masikini , ni mtihani haswa
Mimi mapema tu,na 5.5 nikaona nisisumbuane nao na kujichosha Ila Kuna watu watabebwa na vigezo hivyo huenda hawanaOYA NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA NILIKUWEPO HAPO KATANGAZA VIGEZO KABLA YA KUANZA. NILIKUA MTU WA 9 NIMEENDA PALE KUPIMA UREFU NINA 5.6 na 1/2 NAAMBIWA ILA NIKIJIPIMA NAPATA 5.8 HATA WATU WAKASHANGAA UKIKOSA KIGEZO KIMOJA NDO SAFARI NIMEAMBIWA UNAUREFU GANI NKATAJA KWA KUNUKUU VIPIMO VYAO AKASEMA BHX KILA LAKHERI DAAH NIMECHOKA SANA ILA SIKATI TAMAA
NGOJA NISUBIRI PT PDF HUENDA NDO FUNGU LANGU
OYA NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA NILIKUWEPO HAPO KATANGAZA VIGEZO KABLA YA KUANZA. NILIKUA MTU WA 9 NIMEENDA PALE KUPIMA UREFU NINA 5.6 na 1/2 NAAMBIWA ILA NIKIJIPIMA NAPATA 5.8 HATA WATU WAKASHANGAA UKIKOSA KIGEZO KIMOJA NDO SAFARI NIMEAMBIWA UNAUREFU GANI NKATAJA KWA KUNUKUU VIPIMO VYAO AKASEMA BHX KILA LAKHERI DAAH NIMECHOKA SANA ILA SIKATI TAMAALeo magereza dodoma,yupo mkuu wa wilaya na makamanda wengine,km umezidi umri hata siku moja pita hivi,hujafika kimo pita hivi,unaenda mbele pale wanakagua vyeti baada ya hapo unaenda kupimwa ulefu usipofikisha unapewa vyeti unasepa,ukifikisha unahojiwa,unakaguliwa km huna Chara,unapimwa afya siku hiyo hiyo
Kabisa ndugu huwez amini nimerudi saa 4 interview ya haraka sijawahi ona asa nishaambiwa kila lakhri nasubiri nini daaahMimi mapema tu,na 5.5 nikaona nisisumbuane nao na kujichosha Ila Kuna watu watabebwa na vigezo hivyo huenda hawana
Tuendelee ,kukaza .Milango mingine itafungukatutalima na kufubaa sana watoto wa jamii za kikulima, but tusife moyo
Kanusu nchi kamenitoa man inauma sanaMimi mapema tu,na 5.5 nikaona nisisumbuane nao na kujichosha Ila Kuna watu watabebwa na vigezo hivyo huenda hawana
Wamekukazia tu mzee babaKanusu nchi kamenitoa man inauma sana
Gereza gani hilo kakaaKanusu nchi kamenitoa man inauma sana
Isanga dodomaGereza gani hilo kakaa
Inaonekana mlikua nyomi sana kamandaIsanga dodoma
Magereza kuhusu urefu...wanazingatia sana yaniWamekukazia tu mzee baba
Kabisa nduguTuendelee ,kukaza .Milango mingine itafunguka
Tulikua 250Inaonekana mlikua nyomi sana kamanda
Ile statement kuwa watu hawapendi magereza,sijaiona life limekaza SanaJapo wansema waliita watu 370 ila hatukufika
Duh na maservice walikua wa kutosha nnJapo wansema waliita watu 370 ila hatukufika
Duh na maservice walikua wa kutosha nn