Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Sema hii ya simu inaweza kuwa kwel maana kuna jamaa alipata mwaka Jana alisema wao walipigiwa simu kimya kimya wakaripot mafunzo yeye alikuwa degree holder so kwa maana iyo hakukuwa na pdf apo ndio sijajua
 
Sema hii ya simu inaweza kuwa kwel maana kuna jamaa alipata mwaka Jana alisema wao walipigiwa simu kimya kimya wakaripot mafunzo yeye alikuwa degree holder so kwa maana iyo hakukuwa na pdf apo ndio sijajua
Mwaka jana hakukuwa na.pdf?
 
Sema hii ya simu inaweza kuwa kwel maana kuna jamaa alipata mwaka Jana alisema wao walipigiwa simu kimya kimya wakaripot mafunzo yeye alikuwa degree holder so kwa maana iyo hakukuwa na pdf apo ndio sijajua
Huyo aliyepigiwa simu ana maelekezo huyo ...
 
Upo chombo gani kamanda??
 
Hahah! Unachekesha wewe, a soldier apokee 550k? Private wa anapokea 750k haya jumlisha na marupurupu mengine!
 
Hapa sizungumzii kivuli cha juani, nazung naandika kwa herufi kubwa naombq kuuliza wakyu wite humu.

Naskia ronja kwa wenye vyeti vya mujibu wa sheria hawatakiwi pt wametemwa je ni kweli? Hasa kwa waloombea form four? Naomba kuwasilishaumzia kivuli chako cha kiroho, yaani nafsi yako
 
Wanakwambia Mungu umsaidia ambaye atajisaidia[emoji3] sio kubweteka tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…