Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Unajua TPDF lina kila kitu unachokiona uraiani na majeshi mengine mfano TPDF lina Military Police kozi wanaenda miezi 3 tu na wanafanya mambo yote ya kipolisi yote yaani,iwe traffic,ukamataji,uchunguzi nk. Sasa kwanini wao waweze kufanya kozi ya miezi 3 alafu PT miezi 9 wao wana upekee gani hasa?

Jeshi lina Idara ya Usalama/military intelligence(Intelligency Officer) kama wa TISS tu na kozi ni hiyo hiyo miezi 3 wengine wanashindwa nini?
MP's na polisi wa uraiani majukumu yao yanatofautiana sana ijapokuwa wana jina lifananalo.MP hudili na mambo ya kutekeleza sheria za jeshi ila polisi wa kawaida hudili na mambo mengi na ndio maana mafunzo yao huchukua muda mrefu,kuna mambo wao hujifunza kama upelelezi,ushahidi na mambo mengine mengi.

Hebu jiulize kwanini leo afe mwanajeshi kambini ktk mazingira ya kutatanisha watakuja polisi wa kawaida kufanya 'PM' na si Miltary police.?
 
Dah Hatari...nimewaachia waamue wao ...ngoja tupambane na (zimamoto ,magereza na uhamiaji) wakati huo tukisubiria TPDF..
Daah tpdf nao sijui mashart yao yatakuaje dadek au nao n mwendo wa kuchukua form4 wenye ufaulu wa chini
 
Unajua TPDF lina kila kitu unachokiona uraiani na majeshi mengine mfano TPDF lina Military Police kozi wanaenda miezi 3 tu na wanafanya mambo yote ya kipolisi yote yaani,iwe traffic,ukamataji,uchunguzi nk. Sasa kwanini wao waweze kufanya kozi ya miezi 3 alafu PT miezi 9 wao wana upekee gani hasa?

Jeshi lina Idara ya Usalama/military intelligence(Intelligency Officer) kama wa TISS tu na kozi ni hiyo hiyo miezi 3 wengine wanashindwa nini?
Wanajeshi wababaishaji tuu mkuu.
Ivo ni vitengo tuu
 
Unajua TPDF lina kila kitu unachokiona uraiani na majeshi mengine mfano TPDF lina Military Police kozi wanaenda miezi 3 tu na wanafanya mambo yote ya kipolisi yote yaani,iwe traffic,ukamataji,uchunguzi nk. Sasa kwanini wao waweze kufanya kozi ya miezi 3 alafu PT miezi 9 wao wana upekee gani hasa?

Jeshi lina Idara ya Usalama/military intelligence(Intelligency Officer) kama wa TISS tu na kozi ni hiyo hiyo miezi 3 wengine wanashindwa nini?
Jeshi inabidi wapige course miezi 9 kumbe wanapiga mitatu ndiyo maana king'ai anawatesa
 
Duh e bwana ee basi hyo n hatari m nilijua kwakuwa n tpdf basi lazima iwe miez ht sita
Zamani ilikua miezi 9 ila mfumo ulikuja kubadirika na kua miezi minne mana wengi wanaoenda mafunzo ya awali ya kijeshi huko rts kihangaiko kwa kanali mihala na oljoro wengi ni waliopitia jkt na jkt ni miezi 9 ilikua kuokoa rasimimali fedha kama mkuu Choo Cha Kulipia alivyosema hapo juu walibadirisha na kua miezi tajwa hapo juu maana mafunzo ni yale yale ya jkt
 
Zamani ilikua miezi 9 ila mfumo ulikuja kubadirika na kua miezi minne mana wengi wanaoenda mafunzo ya awali ya kijeshi huko rts kihangaiko kwa kanali mihala na oljoro wengi ni waliopitia jkt na jkt ni miezi 9 ilikua kuokoa rasimimali fedha kama mkuu Choo Cha Kulipia alivyosema hapo juu walibadirisha na kua miezi tajwa hapo juu maana mafunzo ni yale yale ya jkt

Noted..
 
Wakuu vipi kwa upande wa magereza kozi ni muda gan watu wanaenda [emoji120][emoji120]
 
Wakuu vipi kwa upande wa magereza kozi ni muda gan watu wanaenda [emoji120][emoji120]
Vyombo vilivyo chini ya mambo ya ndani vyote kozi ni miezi 9.Tena safari hii PT kuna uwezekano wakapiga mwaka mzima.
 
Af ukiachilia mbali magereza makuu, ya wilaya na Yale ya kilimo... Magereza pia wana kambi mfano Mvuti, Kimbiji, hizi kambi ni kwaajili ya Nini?
 
Af ukiachilia mbali magereza makuu, ya wilaya na Yale ya kilimo... Magereza pia wana kambi mfano Mvuti, Kimbiji, hizi kambi ni kwaajili ya Nini?
Siyo kambi hizo ni deti zinaitwa wanakuwa eneo fulani wamelichukua wakifanya shughuli fulani labda bustani za mboga mboga au wana shamba la nyuki na vitu kama hivyo,unakuta wapo Askari hawazidi hata 50.
 
Siyo kambi hizo ni deti zinaitwa wanakuwa eneo fulani wamelichukua wakifanya shughuli fulani labda bustani za mboga mboga au wana shamba la nyuki na vitu kama hivyo,unakuta wapo Askari hawazidi hata 50.
Anhaa nimekupata, niliona huko kwenye website yao wameweka orodha ya magereza na pembeni kabisa wameweka hizo kambi, na wameandika orodha ya makambi
 
Vijana wajiandae wakati wowote ila lonja kozi ni januari,hivyo mchunge damu na miili msipige mashine bila kondomu au ukajibeba mshikaki na boda mkavunja miguu na mikono hamtaingia CCP ukiwa kilema.

Hahaha..noted.
 
Vijana wajiandae wakati wowote ila lonja kozi ni januari,hivyo mchunge damu na miili msipige mashine bila kondomu au ukajibeba mshikaki na boda mkavunja miguu na mikono hamtaingia CCP ukiwa kilema.
Asante mkuu....kwa lonja...huu Uzi unakutegemea sana lonja zako ni muhimu sana kiongozi
 
Back
Top Bottom