Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Degree yoyote jakata unaingia. Hakuna mgawanyo wa shahada muhim ndo maana katika sifa za kuzama jakata Ni degree na sio degree ya dash... Dash

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Ukikuta hivi, hata kama mtandao umeyumba... Moyo lazima udundee!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anaandaaje wakat hajachaguliwa[emoji3][emoji3]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Alikuwa na mbanga mzito..!![emoji23][emoji23] Baada ya kuhakikishiwa ushindi, akaanza hadi kuweka status za dreams come true..!!!

Duuh, kumbe mibanga inazidiana pumzi..!!

Na hapo mwanzo nilimshauri sana awekeze nguvu zake PT..!! Ila ndio hivyo alidai anaipenda sana UT.

Sema haya mambo hayana formula.
 
mbanga ipo kwenye system bado? na rank gani? coz akiwa ndani ya mfumo ngumu mno kushindwa kukupigania
 
Hivi wakuu kozi za mambo ya ndani mfano kama vile kozi ya polisi nazo huwa na mkesha six weeks?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…