Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Kama...ulifanya usaili kwa kamanda polisi..mkoa Anza kufanya maandalizi...maana watachukuliwa karibu wote...
 
[emoji23] mkuu mimi sina ndoto ya kua askari,kwanza sijawahi hata kuomba hizo kazi
Ahaaah basi nakuja pm haraka sana unifanyie konekisheni nikalinde mipaka yetu ili nyie mle raha na wake & mademu zenu wazuri. Najua Utanipokea mkuu
 
Hakuna cha six week mambo ya ndani....by saa4 tuu mnaendalala....

Ila mnaamka saa8 au9 alfajir mchakamchaka
Polisi baada ya chakula cha jion saa 12 unaweza ukalala...ila kuamka ni saa 6 usiku ambapo roll call inafanyika then mnaenda mabio
 
iv ikitokea umechaguliwa kwenda cpp utaratibu huwa unakuaje kama ulituma maombi kwa kigezo cha form 4
Sasa si uliomba kwa level ya form 4 mkuu...unataka utaratibu gani mwingine? Mliochaguliwa mtapewa taarifa usafiri utakuw organised.. mtaenda kwa pamoja
 
Kwa intake hii kuna jamaa mmoja nimemsaidia kwenda sehemu flani....ko maybe tusubir intake zijazo....

Ila usichoke kuomba mungu..
Sawa. Mwenyezi Mungu ninamuomba sana, sichoki. Japo hajanifungulia baraka nikawa Jeshini. Sema kusali na kutubu dhambi muhimu maana mtu hajui anakufa lini, isije ikawa taabu katika maisha mengine yanayofuatia baada ya hapo.
 
Oya wanangu vipi kwenye usaili wa JWTZ na wenyewe wanahitaji kitu cha NIDA ili mtu aangalie utaratibu wa kupambania kombe kwa unaa mwingine kwa kuichekecha hiyo kitu au ikoje ?
Pesa ya kuwahonga makamanda wanipe nafasi nayo, SINA !
yani ni kama komandoo akiwa vitani, ameishiwa risasi na viazi (mabomu) sasa anatamani afanye UP achomoke hapo lakini hawezi kutokana na kwamba amezungukwa na adui zake wenye silaha nzito. Noma sana.
Tafuta nida ungekuwa kigoma ningekusaidia ukaipata ndani ya nusu saa tu

Kama upo kwingine nenda ofisi za nida ujieleze utahudumiwa vizuri tu na utaipata kuanzia siku 2 mpaka 5 tu
 
Tafuta nida ungekuwa kigoma ningekusaidia ukaipata ndani ya nusu saa tu

Kama upo kwingine nenda ofisi za nida ujieleze utahudumiwa vizuri tu na utaipata kuanzia siku 2 mpaka 5 tu
Nipo Dar kwa sasa NIda ipo mda sana tangu 2017 mkuu, nilitaka kujua kama hawaulizi ķwenye usaili ili nijipige kifua nikajaribu tena bahati JKT. Au kama inawezekana nijisajiri upya nibadilishe mwaka wa kuzaliwa na jina kabisa. Ili wakiihitaji jeshini nisipate taabu maana hii iliyopo umri wake ni wa hovyo sana ni mkubwa majeshi hayautaki na mimi ndiyo yule mwenye mahaba mazito na hicho chombo yani siambiwi wala sisikii ! Ni shida sana. Vipi kupata nida nyingine inawezekana ukizingatia alama za vidole vyangu tayari wanazo kule ? Nasaka jeshi kwa udi na uvumba yan
 
Nipo Dar kwa sasa NIda ipo mda sana tangu 2017 mkuu, nilitaka kujua kama hawaulizi ķwenye usaili ili nijipige kifua nikajaribu tena bahati JKT. Au kama inawezekana nijisajiri upya nibadilishe mwaka wa kuzaliwa na jina kabisa. Ili wakiihitaji jeshini nisipate taabu maana hii iliyopo umri wake ni wa hovyo sana ni mkubwa majeshi hayautaki na mimi ndiyo yule mwenye mahaba mazito na hicho chombo yani siambiwi wala sisikii ! Ni shida sana. Vipi kupata nida nyingine inawezekana ukizingatia alama za vidole vyangu tayari wanazo kule ? Nasaka jeshi kwa udi na uvumba yan
Ko tofauti na JW huendi au..
 
Back
Top Bottom