watoe tujue Moja, sio Kila siku mawazo [emoji23][emoji23][emoji23]Naona wanangu wa PT wamechoka sana! [emoji23][emoji23][emoji23] na hizi lonja za kilasiku mnazidi kuwavuruga tu
Vijana hamna uvumilivu kabisa...fatilieni huko nyuma PT walikuw wanatoa baada ya muda gan kutoka usaili. Mnataka usaili umalizike leo..majibu yatoke keshokutwa 😂😂 kuna protocols ...wakat ukifika mtajijua tu achen mteruwatoe tujue Moja, sio Kila siku mawazo [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] sawaVijana hamna uvumilivu kabisa...fatilieni huko nyuma PT walikuw wanatoa baada ya muda gan kutoka usaili. Mnataka usaili umalizike leo..majibu yatoke keshokutwa [emoji23][emoji23] kuna protocols ...wakat ukifika mtajijua tu achen mteru
Mungu awasaidie mzipate hizo nafasiwatoe tujue Moja, sio Kila siku mawazo [emoji23][emoji23][emoji23]
Wawe wapole tuu wasubirie PDFNaona wanangu wa PT wamechoka sana! [emoji23][emoji23][emoji23] na hizi lonja za kilasiku mnazidi kuwavuruga tu
INSHALLAH [emoji120]Mungu awasaidie mzipate hizo nafasi
Ingia mtandaoni andika aptitude test...utaletewa sample ya maswali mbalimbali...ranging from verbal..numerical etcMsaada anayejua nature ya maswali ya pccb aptitude test ni ya numerical au verbal qns wadau waliyofanya mwaka jana
Maswali rahisi ya kuchagua majibu (multiple choices) kiingereza cha shule ya msingi darasa la nne la tano n.k hesabu za shule ya msingi zile rahisi rahisi mfano sehemu, milinganyo sahili n.k Najua nilipata A ya 90% kwenda juu ila SUGUNYO iliyonikuta sasa mmmmh hatari sana oral sikuitwa na wengine walioitwa pdf ya mwisho hawakutoboa. Kule nadhani kama huna maelekezo kutoboa ni kwa ngekewa ila kikubwa ninkupambana hivyo hivyo huwezi jua riziki yako.Msaada anayejua nature ya maswali ya pccb aptitude test ni ya numerical au verbal qns wadau waliyofanya mwaka jana
Aah shukran sana mkuu angalau nimepata mwanga this time ngoja nikapambane hivyo hivyoMaswali rahisi ya kuchagua majibu (multiple choices) kiingereza cha shule ya msingi darasa la nne la tano n.k hesabu za shule ya msingi zile rahisi rahisi mfano sehemu, milinganyo sahili n.k Najua nilipata A ya 90% kwenda juu ila SUGUNYO iliyonikuta sasa mmmmh hatari sana oral sikuitwa na wengine walioitwa pdf ya mwisho hawakutoboa. Kule nadhani kama huna maelekezo kutoboa ni kwa ngekewa ila kikubwa ninkupambana hivyo hivyo huwezi jua riziki yako.
Sasa Kama majibu unaambiwa utatumiwa kwenye email Kama umechaguliwa na hakuna pdf unahic unapitaje[emoji3]Maswali rahisi ya kuchagua majibu (multiple choices) kiingereza cha shule ya msingi darasa la nne la tano n.k hesabu za shule ya msingi zile rahisi rahisi mfano sehemu, milinganyo sahili n.k Najua nilipata A ya 90% kwenda juu ila SUGUNYO iliyonikuta sasa mmmmh hatari sana oral sikuitwa na wengine walioitwa pdf ya mwisho hawakutoboa. Kule nadhani kama huna maelekezo kutoboa ni kwa ngekewa ila kikubwa ninkupambana hivyo hivyo huwezi jua riziki yako.
Pccb kama hauna connection usiharibu nauli.....acha kabisa.Msaada anayejua nature ya maswali ya pccb aptitude test ni ya numerical au verbal qns wadau waliyofanya mwaka jana
Wacha akajaribu hvyo hvyoPccb kama hauna connection usiharibu nauli.....acha kabisa.
Ni juu yake sasa....lakini ukweli utabaki hivyo..Wacha akajaribu hvyo hvyo
Ni kweli, Uwezekano wa kuharibu nauli ni mkubwa.Pccb kama hauna connection usiharibu nauli.....acha kabisa.
Nasisistiza hapa, asiharibu nauli tafadhali.Wacha akajaribu hvyo hvyo
Kushindwa kwako sio kushindwa kwa mwingine. Kila mtu amepangiwa fungu lake na Mungu. Kama amepangiwa, atapata ila kma hajapangiwa hatapata. Tusijipe nafasi ya Mungu y kuamua kupata au kukosa kwa mwingine.Nasisistiza hapa, asiharibu nauli tafadhali.
Mkuu kama unavyosema ni hvyo basi wangepata hata wasiokua na vyeti pia, ishu Iko hivi Sasa hivi kujuana kumetamalaki kwakua kunashida ya Ajira na huyo mwenye refa sio kuwa hamuombi mungu pia.Kushindwa kwako sio kushindwa kwa mwingine. Kila mtu amepangiwa fungu lake na Mungu. Kama amepangiwa, atapata ila kma hajapangiwa hatapata. Tusijipe nafasi ya Mungu y kuamua kupata au kukosa kwa mwingine.
Wapo wanaopata pia bila kujuana. So it is a matter of chance. Instead of discouraging someone..let him try ajionee mwenyewe. Maana hata hiyo nauli unayosema asipoteze ni yake na mpangaji ni Mungu. Naongea by experience and I am being positive.Mkuu kama unavyosema ni hvyo basi wangepata hata wasiokua na vyeti pia, ishu Iko hivi Sasa hivi kujuana kumetamalaki kwakua kunashida ya Ajira na huyo mwenye refa sio kuwa hamuombi mungu pia.