Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Uko sahihi mkuu
 
Sasa mbna unaandika Yale Yale Ni kweli kua mujibu huchukuliwa kama millitary science kila mwaka hata mwaka Jana walichukuliwa ninachozungumzia Hapa Ni mujibu kuchukuliwa kama Askari kawaida kwa sababu hata intake zote zilizoingia kipindi Cha magu hapo wakati ajira zilikua ngumu majeshini walikua Ni kujitolea wale waliokaa kwenye kazi za ujenzi kua nzia zile za ukuta wa mererani na hizi za juzi Hapa za waliojenga ukuta chamwino
 
Kujitolea jeshi ndio Ajira yao mama yaani jwtz ndio mama ake na jkt kwaio mama kumkumbuka mwanae chakula kikiwa tayari sio huruma sawa dg af hao mujibu ckuiz sababu ya kukosa Ajira baada ya kumaliza vyuo ndio wanaotia huruma kulilia hizi Ajira za ma jeshi ambazo sio mahsusi kwa ajili yao wao walipitishwa jkt kwa mujibu wa Sheria inavyowataka sio kwenda kutafuta Ajira kama wa kujitolea ndio maana hata kozi yao Ni tia maji sio ka wa kujitolea
 
Usisahau kua kujitolea licha ya kua Wana Sifa pia nao Wana mibanga dg usifikiri kua wao ndio kinyonge
 
Oi tuachane na haya mambo bana ya Mara hawa wanafahaa au sio...
Tuendelee kupeana lonja Kama ilivokuwa mwanzo na sio haya tunayoendelea nayo ...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Una mibuyu mikubwa kijana sio ?
Usitambie mibuyu bhn ( Mungu ndo Mbuyu mkubwa hata Kwa mbuyu wako )
2015 nikiwa namaliza University mibuyu yangu mikubwa tena ya jikoni Ilipotea.
Nilipoteana, Nilianza upya kabisa from Zero 0 .
Msitambiane , ingieni kati mlicheze Goma wote Tyr hiyo ni meli ya mgiriki .
 
Yaan io PDF ni pasua kichwa....
Kila mmoja ana hari yake[emoji3][emoji3] Bora ambao wamepigiwa simu kuambiwa warekebishe mambo yao hao wanauhakika wamepata tayari

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Waambie kua hao kujitolea wengi hata hio jkt waliingia kwa mibanga sio ka wao walioingia sababu wamemaliza form six kwaiyo asijidanganye kua hawana mibanga
 
Dada na mie nataka kujiunga jeshi baadae, naomba uwe connector wangu.
 
Kwakweli sijui hata mnacho bishania ni nin,maana maswali yote yamejibiwa juu,itawagalimu nin kufikia muhafaka mbona mnataka kujaza Uzi wadau
 
Mii naombeni tuache kubishana wakati wote sisi ni service man na wote tulikua tunakula posho ya 50k

Kikubwa saiv tupeana muongozo wa barua ya maombi inakuaje na inabid iandikwe vipi mii naona icho ndo chamsing kwa sasa Mana jw ni kama uhamiaji kwenye ukaguzi wa barua so naombeni wenye ujuzi wa ayo mambo watupe muongozo
 
Labda alijichanganya
 
Mujibu mpk awe na mbanga mzito ndio anaweza pata ila kujitolea Ni vigezo tu maana vinawataka wao means kama huna vigezo ndio utalazimika kua na mbanga
 
Sasa hapo tunachoongelea kua hizi nafasi Ni za kujitolea wao hata bila mmbanga wanapata maana vigezo wanavyo sasa ka huna vigezo hata interview hutaitwa inabd usubirie mpk watu walipoti ndio ukaunge alafu kujitolea hawahitaji bahati Ni vigezo ndio vinawataka
 
Na sio kwamba nafasi za jeshi wote wanaoingia Ni kwa mibuyu Ni kwamba wenye vigezo wakishajaa wataangalia ka kuna ma gepu yanabaki ndio wa kubwa wanagawana hayo ma gepu
 
Dg mm nmetoka msata juzi nlikua kwny bogi la chamwino kwaiyo I'm talking from experience sihadithiwi ka ww na me nlishapata tayari sio ka nazitaka hizo nafasi no
 
Usibishane nao mkuu maana wanajaribu kupingana na ukweli we waambie tu wa Applly na vyeti vyao vya mujibu wasubirie majibu yakishatoka ndio watajua utofauti uko wapi saiv hawawez kukuelewa
Mkuu me nimeachana nao acha waendelee kutekenyana sijui wanadhani JW ni Polisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…