Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

JKT oparation inayo apa saivi imepiga kozi miezi 6 haijatimia ...au ndo maboresho nini
 
Muwasamehe bure tuu... Shida wanazopata huko lazima wadate!!

Mashamba ya kwenda.(mpunga chita, Embakasi-mlale, Milundikwa mahindi... Bado ujenzi wa kufa mtu)

Ulinzi na ukakamavu siku zote za miaka yao!! Lazima wajisahau mkuu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
daah kupewa nafas kidogo tuu washaanza kuwachamba[emoji1][emoji28]
 
Yani unanibishia wakati mimi nina mifano hivi ni kwamba una uhakika na unachokiandika au unabishana tu mradi usionekane umeshindwa, hapa ndio naamini kweli jf kuna watu wanajifanya wajuaji kumbe hawajui, kijana labda jeshi la baba yako ndio ambalo halichukui mujibu wa sheria lakini haya tunayoyajua sisi wanachukuliwa tena kila mwaka na hakuna kitu wa kujitolea mtafanya hata kama inawauma
Hahah! Rudi juu soma bandiko langu moja nimeandika kabsa kuwa hakuna askari (mpiganaji) anachukuliwa mujbu wa sheria haipo yani hapa naongelea askari, hivi unajua maana ya askari kwanza isijekuwa nabishana na mtu ambae haelewi hajui ni nini!

Hakuna aliyekataa kuwa mujibu hawachukuliwi ila kwa askari hakuna mujibu anaehitajika ELEWA!

Na kama unabisha soma hata tangazo hili la juzi ndo utajua tunachomaanisha halafu kingine maisha ya mtu ambae hata simjui hayawezi niuma hata siku moja ila tunajaribu kuongea ukweli unasema eti inatuuma.
 
Sababu za kufeli zinaweza kuwa zipi chief? Au ndo hizo za kuwa unfit Labda na utovu WA nidhamu....
Zipo sababu nyingi tofaut tofaut mbal na hzo..kwamf. kn baadhi ya sheria ndg ndg tu unaweza ukadharau lakn kuna vtu vngne ni vdg ila ni vkubwa sana mf. Uniform ya siku ya paredi inatakiw upanga usimame ko unapopiga pasi hatujui hawatak kujua unaiweka wap ila isipinde ata kdg
 
Vyeti, afya , vifo , utoro na utovu wa nidhamu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tena kama hiyo utoro em ipigie mstari kdg mana vijana wakiwa wamechelewa kulala ile after two monthly vikianza vipindi vya Class session na Range session wanakuw na usingiz mwing kwahyo mtu anacha kwend session ili alale macho mekunduu
 
Alieleta shida kwenye issue ya Mara mujibu Mara wakujitolea ni yule alayesema mujibu hawafai kabisa kwenye majeshi maana kozi yao n semina ya miezi mitatu[emoji3][emoji3]
Nashangaa kuona kakimbia simuoni Tena ...
Tuachane na kabisa Ila jua kwamba mujibu na kujitolea wote ni service man na service girl Basi...mambo ya huyu anaajiriwa yule haajiriw hayo achana nayo pambania kombe lako mwenyewe...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Zipo sababu nyingi tofaut tofaut mbal na hzo..kwamf. kn baadhi ya sheria ndg ndg tu unaweza ukadharau lakn kuna vtu vngne ni vdg ila ni vkubwa sana mf. Uniform ya siku ya paredi inatakiw upanga usimame ko unapopiga pasi hatujui hawatak kujua unaiweka wap ila isipinde ata kdg
Daah hyo kunyoosha suruali mpk upanga nilikuwa naona uwaki Sana enzi hizo shuleni[emoji23]
 
Alieleta shida kwenye issue ya Mara mujibu Mara wakujitolea ni yule alayesema mujibu hawafai kabisa kwenye majeshi maana kozi yao n semina ya miezi mitatu[emoji3][emoji3]
Nashangaa kuona kakimbia simuoni Tena ...
Tuachane na kabisa Ila jua kwamba mujibu na kujitolea wote ni service man na service girl Basi...mambo ya huyu anaajiriwa yule haajiriw hayo achana nayo pambania kombe lako mwenyewe...

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hao mujibu kuruhusiwa kuomba zile nafasi za professionals za polisi washajiona Wana haki kila sehemu Tpdf wenyew wanajua utofauti Kati ya mujibu na kujitolea uko wapi ndio maana kwenye Tangazo lao hawajawataka mujibu wamesema kujitolea waliokaa miaka miwili na zaid sasa nyie mujibu mnajitekenya na kucheka wenyewe hongereni subirin ndoige tu hamna namna
 
Wewe ungekuwa umesoma comments zangu ulizoziquote, wala usingeandika hili gazeti lote eti mimi sijui maana ya askari, hivi huwa mnahisi huko jeshini mlipita peke yenu au kwamba ninyi ndio mnalijua sana jeshi kuliko wengine wote

Ndio nakuambia sasa askari wa mujibu wa sheria wapo wengi tu, maana kumbuka si kila mujibu hufanikiwa kuchaguliwa kwenda monduli kupiga military science au officer cadet wengine hukosa hizo nafasi hivyo huishia kuwa askari tu, au unataka kuwadanganya wenzio hapa kuwa mujibu hawapiti kihangaiko na oljoro

Huyo ndugu yangu ninayekuambia amepita mujibu op samia aliendelea na course ya ajira akaenda msata wameapa mwaka jana, form six wakachukuliwa kuenda monduli kuanza military science sema yeye akiwa huko kuna ishu alizingua, akarudishwa kambini kabaki kama private tu acha ubishi na ujuaji kijana
Em kua specific kwamba Ni usaili gani ambao Tpdf huchukua mujibu straight kwenda kua Askri/mpiganaji achana na hiyo ya kuchukuliwa kwenda military science ni kawaida Miaka yote hua wanachukuliwa mbna unarudia blah blah zile zile
 
Wewe ungekuwa umesoma comments zangu ulizoziquote, wala usingeandika hili gazeti lote eti mimi sijui maana ya askari, hivi huwa mnahisi huko jeshini mlipita peke yenu au kwamba ninyi ndio mnalijua sana jeshi kuliko wengine wote

Ndio nakuambia sasa askari wa mujibu wa sheria wapo wengi tu, maana kumbuka si kila mujibu hufanikiwa kuchaguliwa kwenda monduli kupiga military science au officer cadet wengine hukosa hizo nafasi hivyo huishia kuwa askari tu, au unataka kuwadanganya wenzio hapa kuwa mujibu hawapiti kihangaiko na oljoro

Huyo ndugu yangu ninayekuambia amepita mujibu op samia aliendelea na course ya ajira akaenda msata wameapa mwaka jana, form six wakachukuliwa kuenda monduli kuanza military science sema yeye akiwa huko kuna ishu alizingua, akarudishwa kambini kabaki kama private tu acha ubishi na ujuaji kijana
Sasa mfano Hapa unasema kabisa kua ndg yako alichukuliwa kama military science huko mbele mwnyw ndio alizingua Ina maana hakuchukuliwa straight kua Askari haikua lengo Ni Circumstances zilitokea
 
Hahah! Rudi juu soma bandiko langu moja nimeandika kabsa kuwa hakuna askari (mpiganaji) anachukuliwa mujbu wa sheria haipo yani hapa naongelea askari, hivi unajua maana ya askari kwanza isijekuwa nabishana na mtu ambae haelewi hajui ni nini!

Hakuna aliyekataa kuwa mujibu hawachukuliwi ila kwa askari hakuna mujibu anaehitajika ELEWA!

Na kama unabisha soma hata tangazo hili la juzi ndo utajua tunachomaanisha halafu kingine maisha ya mtu ambae hata simjui hayawezi niuma hata siku moja ila tunajaribu kuongea ukweli unasema eti inatuuma.
Usibishane nao mkuu maana wanajaribu kupingana na ukweli we waambie tu wa Applly na vyeti vyao vya mujibu wasubirie majibu yakishatoka ndio watajua utofauti uko wapi saiv hawawez kukuelewa
 
Tuanze na chi za kiarabu zinazonyanyasa wafanyakazi wa kiafrika wanaoenda kufanya kazi huko hasa kazi za ndani.

Kama kweli tunaumia watu wakiteseka.
 
Back
Top Bottom