Nafasi za kazi Jeshi la Polisi Tanzania

Umeshasema kuna kitu alizingua na hii ni kawaida sana mfano kufeli mitihani, nidhamu na nk hawa huwa wanarudishwa vikosini kuwa askari sababu kuna kozi aliyopiga ya uaskari ko kumfukuza inakuwa haileti maana ila sasa ukija kwenye lengo ni kuwa yule alichukuliwa akawe afsa na sio askari ila ni coincedence tu imefanya vile.

Unachotaka kuelewa ni kuwa mujibu hachukuliwi moja kwa moja kwenda kuwa askari na kuishia hapo huo utaratibu haupo! Akimalza kozi hiyo msata ndo ataenda kupiga afsa cadet au military science, Askari ni hawa wa kujitolea!

Kwa mara nyingine kasome tena tangazo linasemaje uje hapa
ubwabwaje, mujibu kwenda kwa kudhumuni la kuwa askari ni mpaka uwe na mbanga ila kikawaida utapigwa ndoige mpaka ushangae
 
Wakuu ninachoomba me tuache haya mabishano na tuangalie ni kwa namna gani tunaweza kupata hzi nafasi, tunatakiwa kujua na kutambua ya kwamba nyote wana nafasi katika majeshi, mujibu, kujitolea, kila mmoja ana nafasi kutokana na hitaji lake,
 
Na kikubwa kwenye hz nafasi bado tunatakiwa kujua ya kwamba watu ni wengi mno, hata hao walioapa juzi jkt unaweza kuwakuta msata au oljoro, mambo hayatabiriki wakuu, hata mujibu pia unaweza wakuta msata au oljoro, muhimu na kikubwa tunawezaje pata hz nafasi, binafsi naumiza sana kichwa miaka 3 ishakata kwenda wa 4 hz ajira nakosa ......kikubwa naomba tushirikiane kufikia malengo, humu najua kuna watu wana nafasi tusaidiane wakuu
 
naombeni mnielekeze jinsi ya kutuma maombi nimepata mkanganyiko kidogo hapo kutuma kwa njia ya email yan inakuaje ni kwamba naandika barua kwa mkono afu naiweka kwenye mfumo wa pdf pamoja na vyeti vingine ndio natuma huko kwenye email yao au inakuaje wakuu kwa waliohawahi kutuma maombi kwa njia ya email msaada hapo nataka nifanye hii kitu mapema sana maana ngoja ngoja utakuta mwana sio wakoo....
Naomba kuwasilisha
 
Ww jamaa hapa umeongea sahihi kabisa
 
Kiufupi ata mim nataka nijue ichi kitu kinakuaje
ata mimi nilikua naomba kujua jinsi yakuandika iyo barua Tunaomba tupate muongozo kwa wale wanao jua hii ishu

Pia kingine nimeona kwenye tangazo lao wamesema kua

MAOMBI YATUMWE KWA ANUANI IFUATAVYO

4.a.Mkuu wa Utumishi,

Makao Makuu ya Jeshi,

Sanduku la Posta 194,

DODOMA, Tanzania.

b.Email: ulinzimagazine@tpdf.mil.tz



Kwaiyo kuna njia mbili njia ya posta na njia ya email
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…