[emoji849][emoji849]halloNa hiyo 158 inaweza ikawa idadi ya professional or Bellow Mambo sio Mambo
Na hiyo 158 inaweza ikawa idadi ya professional or Bellow Mambo sio Mambo
[emoji3][emoji3]Kwan ww unaonaje idadi ya intake iliyopita ilikua 4000+ na bachelor 209 je hii ya 3158 bachelor watakua wangap?Hapo sasa mmeanza kuwa watabiri .
[emoji1]hv mfumo wa maombi wa mwaka jana na mwaka huu ukikuaa sawaa eeh[emoji3][emoji3]Kwan ww unaonaje idadi ya intake iliyopita ilikua 4000+ na bachelor 209 je hii ya 3158 bachelor watakua wangap?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Tusubiri pdf chief[emoji3][emoji3]Kwan ww unaonaje idadi ya intake iliyopita ilikua 4000+ na bachelor 209 je hii ya 3158 bachelor watakua wangap?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Naaam jamaa anauthubutu wa hali ya juu mpaka anawaongopea amepita jkt kumbe sio apo alijitoa kwa kilakitu maana angekutana na afande mnaa angekula kazi mpaka akajuta kuwa MTzNimeinasaa huko nanukuu
"
nili peleka vyeti vyangu vyote nika jieleza kwamba nime pita jkt ila sikuchukuaga Cheti MP wa pale getin makao makuu aka sema Una nidanganya eee nika mjibu hapana aka itwa afande mwingine Nika pelekwa kwenye kichumba Kwa ndani kidogo waka nikaba tena kwamba sema ukweli nika salimu amri Nika sema sija pita ila nalipenda jeshi na Nina omba nijiunge vyeti hivi hapa waka vicheki wakani pongeza then waka sema kwa sasa hawana nafasi ila wata toa nafasi sa professional mwezi wa 5 then wata toa za jkt hapo hapo ndio waka sema Kwa muda huo ujao nina weza kuapply nika ondoka lakin baada ya hapo mwanajeshi mmoja aka nofuata kwa nyuma aka ningata skio kwamba kama nina kitu ana weza nisaidia kuingia Nika mwambia Mim yatima hela sina kazi sina aka niambia kila la kheri ... ndio hivyo wadau wangu...."" mwisho wa kunukuu
Kwahyo hapo inawezekana Jw wakaja kuchukua wale wenye proffesional mwez wa Tano
Wakianza kuita utajua tu bossHivi method itakayotumika kuwaita watu kwenye usaili ni through phone ama nao watatoa PDF??
kwa upande wa JWTZ
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Daah NDOIGE tena!!Best of luck Kwa waliochaguliwaView attachment 2561922
Daah NDOIGE tena!!
Mimi na majesh basi tena!! Kama kuna mtu anatala gamba la jakata aje nimuuzie langu[emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app