mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,514
- 4,042
Hakika Mzee mwenzangu.Presha inapanda presha inashukHiyo hatua siyo sifa wala vigezo ni bahati tu
Hahahaha kwanini Mkaruka?Maisha na harakati mitandaoni kumbe ni vitu tofauti
Ukiona watu wanavyoponda Jeshi la polisi unaweza kudhani hakuna anayetaka hiyo kaziHahahaha kwanini Mkaruka?
Hahahahahah nomaaUkiona watu wanavyoponda Jeshi la polisi unaweza kudhani hakuna anayetaka hiyo kazi
Ukiona watu wanavyoponda Jeshi la polisi unaweza kudhani hakuna anayetaka hiyo k
Watanzania Wengi Wana Maisha ya kufeki Mitandaoni ila Njaa kali Sana...Ukiona watu wanavyoponda Jeshi la polisi unaweza kudhani hakuna anayetaka hiyo kazi
Mimi nawasihi Vijana acheni kuisema Serikali Vibaya Mitandaoni,na waheshumu mamlakaWatanzania Wengi Wana Maisha ya kufeki Mitandaoni ila Njaa kali Sana...
Daaaaaaah hatari sana kwamba tena kwakuchelewa hahahaDokumenti ikishatiwa sahihi na RPC,RC kwamba hawa ndiyo tumechagua mkoa X hakuna mwingine anaweza ifanyia mafekecho.
Hao mikasi mnawasema wao tayari walishapewa nafasi zao maalum labda 3 kila mzito mmoja hivyo PDF likitoka linatoka na majina ya baba kanituma ila siyo kwamba kuna mtu atafutwa awekwe baba k.
Mtawaona tu CCP baba k wakiingia mmoja moja tena kwa kuchelewa na wakiitwa na kufanyiwa ka usaili kao kadogo tu.
Tupe lonja Mkuu,Wale wa PT HQ sasa hatua iliyobaki ni Bahati au na mambo mengineDokumenti ikishatiwa sahihi na RPC,RC kwamba hawa ndiyo tumechagua mkoa X hakuna mwingine anaweza ifanyia mafekecho.
Hao mikasi mnawasema wao tayari walishapewa nafasi zao maalum labda 3 kila mzito mmoja hivyo PDF likitoka linatoka na majina ya baba kanituma ila siyo kwamba kuna mtu atafutwa awekwe baba k.
Mtawaona tu CCP baba k wakiingia mmoja moja tena kwa kuchelewa na wakiitwa na kufanyiwa ka usaili kao kadogo tu.
Inawezekana ikawa mambo yashaisha habari za dodoma ni danganywa toto kuondoa matatizo ya hapa na paleDokumenti ikishatiwa sahihi na RPC,RC kwamba hawa ndiyo tumechagua mkoa X hakuna mwingine anaweza ifanyia mafekecho.
Hao mikasi mnawasema wao tayari walishapewa nafasi zao maalum labda 3 kila mzito mmoja hivyo PDF likitoka linatoka na majina ya baba kanituma ila siyo kwamba kuna mtu atafutwa awekwe baba k.
Mtawaona tu CCP baba k wakiingia mmoja moja tena kwa kuchelewa na wakiitwa na kufanyiwa ka usaili kao kadogo tu.
You have no idea brother,kaa kimya tuTechnician wa ndege unakesha jamii forum kusubir lonja la polisi. Hahaha. wenzako wameajiriwa kwenye makampun makubwa we unasubir gombania goli na watu ambao hawajasoma. unachekesha
MmmmmhhhhhInawezekana ikawa mambo yashaisha habari za dodoma ni danganywa toto kuondoa matatizo ya hapa na pale
Sijalalamika mkuu,nafatilia vema tuWenzako walikuwepo kwenye usaili kwenye kikosi cha anga...sasa nashaangaa ww upo huku ndugu unalalamika kuhusu polisi kuchukua form 4 failure wakt wanachukua na professionals kibao tu
Ukweli ndio huo ndugu.Mmmmmhhhhh
Wewe umesoma wapi kwani? Kigezo cha JKT ni kigezo mama kwa majeshi yote ndio maana mkifika tu pale kwenye usaili siku ya kwanza mnaanzia sehemu ya kwanza ya kuonesha cheti cha professional yako( cheti cha chuo) na cha JKt unless waruhusu kuchukua ambao hawajapita jkt ndio unaweza kupita. Mimi naongelea based on experience kwa usaili wapolisi tulioudhuria juzi.Sijalalamika mkuu,nafatilia vema tu
Mm sikuenda jkt,pia tuliambiwa tusubirie maana ambao wewe unasema walikuwepo kwenye usahili ni wale wa NIT au wamesoma china.
Mmmmmhhh Acha kuwaza mabaya kiongoziBaada ya polisi wakijakutoa majina yao tarehe isiyo julikana kuna watu watajiua langu jicho tu