Leviskaetano
Member
- Mar 4, 2023
- 14
- 12
kuna kipindi unaweza kuhisi kuna watu wamekuloga..kumbe unajiloga mwenyweHaya maisha bhana ππππ.
Unakuta hata kibarua Cha kuzibua vyoo mpaka upate connection. Haraf Kuna wadau wanataka kuingia kwenye utumishi kirahisi tu.
Hata intake ijayo tafuta watu wakushike mkono tofauti na hapo utaanza kuhisi unalogwa...
Kuhusu connection, tafuta hata Askari mstaafu hapo mtaan kwenu unaemfahamu hata kama ni family friend hawezi kukudirect sehem pabaya au kukutapeli lkn kuwa tayar kurisk.[emoji23]
Halafu wanaenda kupigwa manyota , na wengine ni failures Tu mamaΒ£Hawajui hao waache tu.
kuna mwanangu alikuwa Oljoro mwaka jana anakuambia baba kanituma wapo sana na wanaingia kozi imeshasogea mbele kidogo kupunguza mahovyo hovyo.
Halafu wanaenda kupigwa manyota , na wengine ni failures Tu mamaΒ£
naomba nisakafie kama hutojaliJust imagine na rafki angu ni mgonjwa wa macho anashinda na miwani kila wakati ila baba ake n mkubwa PT tarehe moja wanalisongesha Moshi [emoji23][emoji119]
Daaaah nilitamani sema ufaulu wangu haukuwa mzuri kwahyo sikuwa na vgezo hata kuapplyNani nimpeleke Reserve [emoji16]
Boss,hao huwa hawajari Mimi nafanya biashara ya duka la leja leja,nimekuza mtaji mpaka nikachoka wakija watu wa TRA nikukomaa wapandishe nilichoamua mwaka juzi ni kuanza kununua mashamba tu na kujenga kibanda baada ya hapo nafanya biashara isiyokuwa na frem,ndo njia pekee kijana unatakiwa kufanya km huna mtaji mkubwa ukikimbilia frem umeishaMaana na ndugu yangu tumetoka jakata lkn yy anapiga mishe za vyakula vya kuku kwa wafugaji kachukua fremu lkn msingi haufiki hata milioni 2 leo wamepita wamemuambia afunge awe na leseni
Fanya kweli bro ..kama ni ishu seriousNani nimpeleke Reserve [emoji16]
Daaaah nilitamani sema ufaulu wangu haukuwa mzuri kwahyo sikuwa na vgezo hata kuapply
mkuu nisaidie kijana wako nlikuwa na sifa zote had urefu nliongoza ila wapiNani nimpeleke Reserve [emoji16]
mkuu nisaidie kijana wako nlikuwa na sifa zote had urefu nliongoza ila wapi